Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Maendeleo yana chama ila udikteta hauna chama wote ni kuisoma namba tu
 
Kwa hiyo CCM wanasafiri na wasanii wote kila wanapokwenda?? au Diamond siku hizi anaishi Mwanza hii kali nilikuwa sijui ati!
 
Mwambieni aombe kura sio kulazimisha kura ? Sasa mbona mnajaza watoto Tena chini ya miaka kumi na nane ? Aiseee mmeishiwa , mgombea wenu mwingine huko Zanzibar Hussein Mwinyi kasusiwa msikiti ,watu hawataki kuswali na mnafiki .Angalieni kwenye michoro vitoto vilivyojazwa CCM Mpaka huruma.
Screenshot_20200907-114737.png
 
Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.

Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Historia ipi? johnthebaptist , kumvalisha kofia mhuni ndio umaarufu? Kwahiyo watu wakiona amevalishwa kofia inawageuza mawazo wanampigia kura?
 
Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.

Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.

Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Msanii mmoja maarufu katika kuuonyesha Umma umahili wake akamvisha kofia msanii maarufu mwenzake uhistoria wa kitendo hicho ni upi? Wasukuma Usukumani!
 
CCM Mwanza labda waibe kura na nafsi zinawasuta
 
Utitiri wa magari ( tena ya gharama) kwenye kampeni za ccm ni dhihaka kwa wapiga kura hawa masikini.

Siongezi sauti..inatosha.
 
Hivi una tv??
Nguvu iliyotumika hapo sio mchezo ila kaa na watu wa kawaida hapa Mwanza uwasikikize. Hivyo vichwa vya vilivyoko kwenye Tv hujui masafa waliotoka.

Siku ya kupiga kura Magufuli hatozifikia kura za Lissu
 
Back
Top Bottom