Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia ipi? johnthebaptist , kumvalisha kofia mhuni ndio umaarufu? Kwahiyo watu wakiona amevalishwa kofia inawageuza mawazo wanampigia kura?Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.
Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.
Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Msanii mmoja maarufu katika kuuonyesha Umma umahili wake akamvisha kofia msanii maarufu mwenzake uhistoria wa kitendo hicho ni upi? Wasukuma Usukumani!Msanii maarufu kuliko wote nchini Naseeb au Diamond Platnumz leo ameweka historia ya pekee baada ya kuvalishwa kofia na Rais Magufuli.
Rais Magufuli alimwita Diamond apande hadi meza kuu na kuvua kofia aliyokuwa amevaa na kumvalisha Naseeb.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Hivi una tv??CCM Mwanza labda waibe kura na nafsi zinawasuta
Mkuu wewe bado unabishana na hawa jamaa, teh teh teh. Hawa jamaa wanapitia mateso makali sana ya kuishi maisha ya kujilazimisha kuukataa ukweli!Hivi una tv??
Ulitaka watu waanze kubishana hapa mzee wakati jambo lipo hadharani. Chukua rimoti kaa kwenye Kochi jionee hayo mafuriko!Uzi umedorora utadhani unahusu mgombea wa tlp
Leo umejua, ....una swali??Kwa hiyo CCM wanasafiri na wasanii wote kila wanapokwenda?? au Diambond siku hizi anaishi Mwanza hii kali nilikuwa sijui ati!
Nguvu iliyotumika hapo sio mchezo ila kaa na watu wa kawaida hapa Mwanza uwasikikize. Hivyo vichwa vya vilivyoko kwenye Tv hujui masafa waliotoka.Hivi una tv??