Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za CCM jijini Mwanza - Septemba 7, 2020

Leta hutuba hiyo kama ni nzuri.. ukiona hata sehemunya hotuba hujaleta ujue mnatekeleza maaigizo ya bashiru kusifia kila kitu.
Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.

Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.

Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
 
Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.

Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.

Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
hotuba ya ufunguzi mpaka ya leo ni ile ile....hakuna jipya.
 
Hakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.

Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima ... Bado unajitembeza kuomba Kura.

BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Unauhakika au ndo maneno ya mkosaji
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
Hakufai wew
 
ala kumbe fiesta imeingia jijini Mwanza leo eee...!! naskia leo hakuna shule, walimu wote na wanafunzi wao ni kampeni ole wako ukache.
 
Na hapo anaposema watu walikuwa wanazunguka Kenya ndo afike makao makuu ya nchi, Wakati anaingia madarakani hii ishu ya kuzunguka Kenya Ilishatamatishwa na Kikwete- Tunamkumbusha tu

Huko anajua anaongea na viazi, ndio maana hataki midahalo maana anajua nafasi ya kulisha watu uongo haipo.
 
Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.

Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.

Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako.... Magufuli anaitikia na kucheza wimbo anaou tune Tundu Lissu. hakuna namna!

kamtumia "love letter" ya kumpa kakazi kadogo ah wapi.. chuma kikamjibu kawape unaowaokotaga huko majalalani. imebidi awe mpole tu kakutana na kiboko yake "kichaa" mwenzie!
 
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako.... Magufuli anaitikia na kucheza wimbo anaou tune Tundu Lissu. hakuna namna!

kamtumia "love letter" ya kumpa kakazi kadogo ah wapi.. chuma kikamjibu kawape unaowaokotaga huko majalalani. imebidi awe mpole tu kakutana na kiboko yake "kichaa" mwenzie!
Jana Lissu kamtandika sana Magu kule Mtwara.
 
Huko anajua anaongea na viazi, ndio maana hataki midahalo maana anajua nafasi ya kulisha watu uongo haipo.
Angalia hapo ITV wamemquote mzee baba- Ndege yeyote itatua CCm Kirumba Mwanza
1599476420464.png
 
Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.

Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.

Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Utopolo
 
Back
Top Bottom