Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
hotuba ya ufunguzi mpaka ya leo ni ile ile....hakuna jipya.Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Unauhakika au ndo maneno ya mkosajiHakika waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
Umejenga SGR Barabara ndege Umezunguka miaka 5 kwenye kampeni nchi nzima ... Bado unajitembeza kuomba Kura.
BILA FIESTA TAMASHA LA DIAMOND KIBA MAROLI YA KUBEBA WATU NK HAJI MTU HAPO
Hakufai wewWatanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
Sema mwambaaaaaNimekutana na basi la Kisire linaelekea vijijini maeneo ya Ilallila,Mwakarundi,Shibula kusoma wananchi mida hii kwenda kujaza uwanja wa kirumba wakamsikilize jiwe
Achana naye...akina Al Saheef wako wengi humuHivi una tv??
Huyu Magufuli ameshushwa na Mungu kuja kutumikia Watanzania
Na hapo anaposema watu walikuwa wanazunguka Kenya ndo afike makao makuu ya nchi, Wakati anaingia madarakani hii ishu ya kuzunguka Kenya Ilishatamatishwa na Kikwete- Tunamkumbusha tu
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako.... Magufuli anaitikia na kucheza wimbo anaou tune Tundu Lissu. hakuna namna!Toka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
Jana Lissu kamtandika sana Magu kule Mtwara.Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako.... Magufuli anaitikia na kucheza wimbo anaou tune Tundu Lissu. hakuna namna!
kamtumia "love letter" ya kumpa kakazi kadogo ah wapi.. chuma kikamjibu kawape unaowaokotaga huko majalalani. imebidi awe mpole tu kakutana na kiboko yake "kichaa" mwenzie!
Tena Kidato cha Nne wameanza leo Mitihani ya Utimilifu (Mock).Acha uongo shule keo zimefunguliwa baada ya likizo fupi
Angalia hapo ITV wamemquote mzee baba- Ndege yeyote itatua CCm Kirumba MwanzaHuko anajua anaongea na viazi, ndio maana hataki midahalo maana anajua nafasi ya kulisha watu uongo haipo.
UtopoloToka kampeni zianze nimekuwa nikisikia maoni ya watu kuhusu hotuba za Rais Magufuli.
Baadhi ya maoni yalikuwa yanataja mapungufu na kasoro kadhaa katika hotuba zake. Leo nimechukua mda wangu kumsikiliza na nimefurahishwa na ubora wa hotuba yake leo; ama amejifunza kama wakosoaji walikuwa sahihi au wakosoaji walikuwa wanamsingizia.
Au pengine Mwanza ndiyo Game changer ya uchaguzi huu na bahati ya JPM.
sana!Jana Lissu kamtandika sana Magu kule Mtwara.
hotuba ya ufunguzi mpaka ya leo ni ile ile....hakuna jipya.
Itakuwa kaambiwaAfu leo hajaongea kisukuma sana