Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Excellent. Aluta continua. Ninautakia kila la heri mkutano mkuu wa chama.
 
Kumbe mgombea wa urais wa Zanzibar wa CDM naye anateuliwa DSM? Sasa mbona CDM huwa wanawasema CCM kwamba wanawachagulia Zanzibar Rais wakati nao pia wanateua huku bara?
 
Sisi ni familia Chadema na familia inaimirika wakati wa majaribu na tuioneshe dunia sisi tutaimarika wakati wa majaribu.

Sisi tumeonewa sana tumebezwa sana tumefungwa sana uchaguzi huu tukasema sasa basi.
We shall overcome
 
Sisi ni familia Chadema na familia inaimirika wakati wa majaribu na tuioneshe dunia sisi tutaimarika wakati wa majaribu.

Sisi tumeonewa sana tumebezwa sana tumefungwa sana uchaguzi huu tukasema sasa basi.
We shall overcome
 
Nyalandu yupo safi sana kwenye kujieleza. Jamaa ni presidential material, ila watu wa mihemko watampa TL. Sioni tofauti ya TL na Magufuli, wote ni watu wa kukurupuka kwenye maamuzi na maneno, sio viongozi na hawajalelewa kiuongozi.
 
Nyalandu yupo safi sana kwenye kujieleza. Jamaa ni presidential material, ila watu wa mihemko watampa TL. Sioni tofauti ya TL na Magufuli, wote ni watu wa kukurupuka kwenye maamuzi na maneno, sio viongozi na hawajalelewa kiuongozi.
Kama anajitosheleza kwanini alikimbia CCM kuja kuemea huku Chadema?Au hawezi kuuza Twiga tena kupitia CCM?
 
Nyalandu yupo safi sana kwenye kujieleza. Jamaa ni presidential material, ila watu wa mihemko watampa TL. Sioni tofauti ya TL na Magufuli, wote ni watu wa kukurupuka kwenye maamuzi na maneno, sio viongozi na hawajalelewa kiuongozi.
Kwa heshima na taadhima, naomba usimlinganishe TL na hicho kichekesho.
 
mamluki tokea ccm siyaaminigi hata siku moja, Lisu akipitishwa italeta muamko chamani....he is very talkative, very proffessional, very smart etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…