Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Basi kama vyama vya upinzani vinashindwa kuweka ilani inayoweza kushawishi wapigakura hawafai kuchukua nafasi ya uongozi
 
Chakaza kunywa divai, umenena vyema.
 
Ushauri wako wako unasukumwa May uoga, unaogopa chama cha kijani kinaenda kupigwa!
Huo siyo ushauri, ujue watu wanapoungana kupambana na mmoja ni kwamba bado hawajatosheleza. Kama ukawa ulishindwa unadhani kuna kipya gani
 
Kati ya makosa makubwa ambayo CHADEMA wanapaswa kuyaepuka kwa gharama yoyote ni kuacha kumpitisha Lissu.

Muda wa majaribio uliisha kipindi cha Lowassa hivyo makosa ya 2015 yasijirudie tena. Mbali na uwezo wa kifedha Nyalandu hana ushawishi wowote ndani ya Chadema ,kwa kifupi hakuna mtu wa kumpa Nyalandu kura.

Naamini Nyalandu yupo kwa ajili ya kumsafishia Jiwe njia apite bila kipingamizi na mwisho wa siku Nyalandu maslahi yake yanalindwa.
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Tusingekuwa tunafanya uchaguzi basi miaka yote hiyo. Kwa sababu hatukuwa na pesa za uchaguzi. By the way JPM 2015 alikuwa na pesa za kampeni? Kama Lissu hana pesa za kampeni akipitishwa sisi tuko tayari kumchangia!
 
Kwenye mchujo wa watia nia 10 ndani ya CHADEMA na kubaki hawa wa3....

Ndo nauliza, ni vigezo gani vilitumika hata mama huyu akaonekana bora kuliko mtia nia mwenzake Mch. Peter Simon Msigwa?
msigwa alijitoa
 
Tusingekuwa tunafanya uchaguzi basi miaka yote hiyo. Kwa sababu hatukuwa na pesa za uchaguzi. By the way JPM 2015 alikuwa na pesa za kampeni? Kama Lissu hana pesa za kampeni akipitishwa sisi tuko tayari kumchangia!
Kwani Obama alikuwa na pesa. Those people are crafting for Nyalandu in order to give ccm a downhill task a scheme that will never be allowed to prevail.
 
Huyu mama bado sana, alivyokuwa anaongea hanusi hata kwa Bulaya wacha Mdee sauti ya zege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…