Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
huyu hana wasiwasi , anatembea na tiketi mfukoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pindi unaposikia usiyempenda kaja tena View attachment 1525537
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu hana wasiwasi , anatembea na tiketi mfukoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pindi unaposikia usiyempenda kaja tena View attachment 1525537
kwa kipi?Jiwe akisikia mavi yanagonga chupi
Ningekushauri badala ya kulazimisha kupiga kura basi tafuta CCM die hard 10 uwaibie kadi zao!Msaada tutani:Kama sina kadi ya kupiga kura hadi leo ninaweza kufanya nini ili niipate?
Nimpe hongera, kwa kuingia katika historia ya kushiriki uchaguzi mkuu ngazi ya UraisTundu Lissu amepata kura - 405
Lazaro Nyalandu amepata kura - 36
Rosemary Majinge amepata kura - 1
Jumla ya waliorodheshwa 453
Waliopiga kura 442
Hakuna kura ilitoharibika
#NiYeye2020 #TunduLissu2020
membe asome alama za nyakati abaki na cheo alichopewa na Zitto sisi Tunataka kupasua jiwe hapo October 28Kilichobaki hapa ni Membe tu aache kugombea urais wamuachie Lissu,Kule visiwani wamwachie Maalim.Actually sina chama napenda Tanzania.
Mbowe hawezi kukubali mgombea urais masikini kama Lisu, Chadema misingi yake ni ubepari kutafuta pesa lazima Nyalandu apitishwe, Nyalandu ni tajiri
Ha ha ha ha, makamanda kazi mnayo.Kimenukaaa!
Leo hawatalala.
marisasi yote yale kamtwanga we unadhani hamwogopi?kwa kipi?
Aeleze vizuri, imagination zao ndio hufanya waone kila uchaguzi wamehujumiwa,kwa kipi?
Mbona unajihami mapema, au tukupe wewe na akina Salary slip mkahesabu Kura OctoberYoooooooop, chadema wamejua kuwafurahisha watanzania, safi sana, hapo mchawi tume.
Kabisa kabisa..... NI MWENDO WA KUVUNJA JIWE HAPO OCTOBER 28Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana Sept 7, 2017 wengi tulilia sana lakini ndani ya hizi wiki mbili ametupa furaha kubwa sana. Sasa akamilishe furaha yetu October 28, 2020 kwa kuchukua Nchi.
Da kauli zingineJiwe akisikia mavi yanagonga chupi
Tundu Lissu amepata kura - 405
Lazaro Nyalandu amepata kura - 36
Rosemary Majinge amepata kura - 1
Jumla ya waliorodheshwa 453
Waliopiga kura 442
Hakuna kura ilitoharibika
#NiYeye2020 #TunduLissu2020
Fika ofisi ya kata na kadi yako ya Chama mkononiMsaada tutani:Kama sina kadi ya kupiga kura hadi leo ninaweza kufanya nini ili niipate?