Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Technical foul. CCM 1 - CDM 0. Lissu anakesi, zitafufuliwa pindi akirudisha fomu NEC. NEC haitamtambua na akifanya mzaha anafungwa mpaka uchaguzi upite.
Plan B, Kwakuwa mwenyekiti amesema Wana mazungumzo na ACT ya kuachiana nafasi, kwenye urais CDM wajoin forces na Membe, nyalandu awe mgombea mwenza. Otherwise CDM watapoteza mgombea wa urais saa moja tu asubui.
 
Lisu hana sera bila ya kuhubiri aliyofanyiwa na waliomfanyia!.. kana kwamba anakisasi tu sioni uchumi kwake!,vipaumbele vya elimu kwake sioni.. umaskini kwake sijui anauzungumziaje!

Kwangu kusema kweli naona Kama ni mtu mwenye uwezo wa kuunda hoja na kuitetea tu..

Chade msinishambulie huo ndo mtazamo wangu!.
NB Sina chama.
 
Mkuu ikiwa kweli hiyo furaha kila kona Nchini itakuwa ni kubwa sana si ajabu ya kushinda hata ile ya December 9, 1961.

Kabisa kabisa..... NI MWENDO WA KUVUNJA JIWE HAPO OCTOBER 28
 
Daaaa wajumbe leo wamenifurahisha sana

Lissu for 2020
 
Tundu Lissu amepata kura - 405
Lazaro Nyalandu amepata kura - 36
Rosemary Majinge amepata kura - 1

Jumla ya waliorodheshwa 453
Waliopiga kura 442
Hakuna kura ilitoharibika

#NiYeye2020 #TunduLissu2020
Hongera Mhe. Tundu Lissu kwa kuaminiwa na chama Chalo
Angalizo; Maswala ya kutufokea kuhusu shambulio lako la September 2017 hatutokusikiliza, No political sympathy kwenye swala la kupewa ukuu wa nchi,
Weka Mambo sawa, Jenga hoja kwani uwezo unao. Kila la kheri
 
Technical foul. CCM 1 - CDM 0. Lissu anakesi, zitafufuliwa pindi akirudisha fomu NEC. NEC haitamtambua na akifanya mzaha anafungwa mpaka uchaguzi upite.
Plan B, Kwakuwa mwenyekiti amesema Wana mazungumzo na ACT ya kuachiana nafasi, kwenye urais CDM wajoin forces na Membe, nyalandu awe mgombea mwenza. Otherwise CDM watapoteza mgombea wa urais saa moja tu asubui.
Achana na hizi ramli za kukatishana tamaa
 
Lissu ameleta ushindani hasa wale wapumbavu wamepoteleana nadhani kwa Sasa itabidi wawe wsnslitaja jina la Lissu badala ya sera
 
Back
Top Bottom