Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Ninasikia Jaji Kaijage anasubiri kulima jina la Lissu kwakua alivuliwa ubunge. Haya yanafanyika kwa maelekezo kutoka juu.
Hapa CHADEMA wanatakiwa kuwa waangalifu sana wasije wakajikuta mwisho wa siku wanaamua kumwunga mkono Membe. Na kwa hira zilivyokaa, wanaweza pia kumpiga panga Membe ili wabaki na wagombea dhaifu kama akina Lipumba, Lutarosa Yemba
 
Kwa comments za humu nyalandu akichaguliwa sijui itakuwaje
 
You're very resourceful, what I don't understand is your motives? Do you think money can buy every thing?
 
Tutamchangia Lissu.
 
Ninasikia Jaji Kaijage anasubiri kulima jina la Lissu kwakua alivuliwa ubunge. Haya yanafanyika kwa maelekezo kutoka juu.
Je akifanya hivyo atakuwa amekiuka sheria?
 
Wewe haya nambo ni makubwa sana kwako huwezi kuyajua
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Acha hizo nyalandu ni Dhaifu mnamtaka ili magufuli asihangaike kufanya kampeni atumie TBC kwani anajua nyalandu hana uwezo wa kumsumbua popote
 
Maneno mengii ila kiufupi sisi tunamtaka Huyo huyo maskini mwenzetu. Hatumtaki mtu kwa sababu ya pesa zake, dini yake wala rangi yake bali aliyetayari kutetea wananchi, kutenda haki na mwenye ujasiri wa kusimama na kuongoza kwa kufuata katiba yetu. Kwa vigezo hivi, hakuna anayemfikia Lissu kati ya hao watatu hata robo. Kama ni kampeni zinapaswa ziwe chini ya bajeti ya chama na ikibidi wananchi watachangia. Kumbuka hata kipindi cha Lowasa watu walichangia pia. Hapo hachaguliwi mgombea binafsi, bali ni mwakilishi wa chama.
 
Kama ni kweki- ashindwe na alegee...kutafsiri sheria ni kazi ya mahakama ... Kaijage rudi benchi uendelee na ujaji ukiruhusiwa
 
Wakifanya hivyo hata robo ya wabunge waliopita hawatapata. Itabidi waungane na ACT kuunda kambi bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…