Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Mbowe hawezi kukubali mgombea urais masikini kama Lisu, Chadema misingi yake ni ubepari kutafuta pesa lazima Nyalandu apitishwe, Nyalandu ni tajiri
Leo hujapigwa fresh Dudu na Mumeo, sio kwa Ashk Majnun hizi
 
Ninasikia Jaji Kaijage anasubiri kulima jina la Lissu kwakua alivuliwa ubunge. Haya yanafanyika kwa maelekezo kutoka juu.
Kwani sheria inasemaje? Usimsingizie judge 👨‍⚖️ tu
 
Mpaka hapo Nyalandu kashinda, Lisu hana uwezo wa kupambana na Nyalandu, Nyalandu ana pesa za kampeni wakati Lisu kapuku hana kitu
Kwa hiyo huko ccm watu wanashinda kutokana na rushwa wanazotoa , kweli chama chenu kimeoza
 
Hizi pesa alikwiba wakati yupo CCM na wezi wenzake kwenye mfumo na kwenda kujilimbikizia nje ya nchi.

Inakuaje unaanza kumsifia mtu aliyekuibia mke wako na kusema amezaa watoto wazuri na wenye akili.?
 
Hata kama anaijua sasa au alikuwa anaijua- hiyo sio kazi yake kwa sasa... mahakama inaweza kuwa na maamuzi mengine...
 
Iendeshwe mara ngapi ? mnadhani Watanzania wote wajinga
Leta facts kuthibitisha uwepo wa rushwa ndani ya CHADEMA kwenye uchaguzi.

Huko ccm rushwa ni mfumo rasmi wa uchaguzi.
 
Dr slaa ni mwizi hana uadilifu wowote ule alinunuliwa kwa dola million 2 akaikimbia chadema na ukumbuke alipora mke wa mtu , dr mihogo kashenzi sana kale kazee, CCM wote wanamtaka nyalandu ili wamgalagaze wanajua ni dhaifu sana
Duh...wanaojua umuhimu Slaa pale chadema huwezi kuwa wewe!

Hata Mbowe mwenyewe akiona hii coment yako atasikitika sana kuwa na mfuasi mjinga kiasi hiki
 
Shida ya viongozi wa Chadema si kwenda Ulaya na Marekani, shida yao ni kuwatumikia wananchi.

Jibu ni TAL kama hutaki kunywa sumu.
Yaani nashangaa hapa Kuna pimbi zinasema Nyalandu..hapana. .tunamtaka Lisu kiboko ya Magu
Nyalandu kapoa mno
 
Dr slaa ni mwizi hana uadilifu wowote ule alinunuliwa kwa dola million 2 akaikimbia chadema na ukumbuke alipora mke wa mtu , dr mihogo kashenzi sana kale kazee, CCM wote wanamtaka nyalandu ili wamgalagaze wanajua ni dhaifu sana
Umeona eh...maccm yanamtaka Nyalandu hapana hatuko tayari
 
Wana JF, kichwa cha somo kinajieleza. Ili kuondoa maning'o ning'o kura zihesabiwe pale mbele kwa uwazi kama mchakato wa CCM. Nawakilisha
 
Jamanii sasa kwanini mlimwambia arudi Tz kama mlikua hamumuhitaji?
Kweli siasa ni mchezo mchafu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…