Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah naona mkutano wa Chadema unafuatiliwa na wana CCM kuliko hata makamanda wenyewe,kweli Lissu anawapa pressure makada.Hahahaha leo mamluki mmefurika kwenye huu uzi,na bado tulieni daawa iwaingie ,mnajidai kuja na propaganda za Nyalandu
Hahah daah kwamba Bumunda,daah na Bumunda tutalila mixer na kachori.Bora mm wewe Lusinde akisoma hizi comments zako anaona kabisa kuwa bumunda siyo peke yake huko ccm
Halafu wewe mbona huwa hujielewi? Kwani bunge ni la ccm hadi ulifananishe na chadema?Wamegoma kuonyesha Live hata online tu Halafu utasikia ohh tunataka bunge live ya Kwao wanafanyia gizani
Ila kwenye hili chadema imetia aibu sanaWamegoma kuonyesha Live hata online tu Halafu utasikia ohh tunataka bunge live ya Kwao wanafanyia gizani
Hatupangiwi. Lumumba mnateseka sana na LissuWamegoma kuonyesha Live hata online tu Halafu utasikia ohh tunataka bunge live ya Kwao wanafanyia gizani
Hata wewe ni mjumbeToo Sad Lissu atashindwa kwa wajumbe.Wajumbe wa Chadema kutwa kusifia wajumbe wa CCM kuwatema wageni..Cha kuchangaza wao wanapigia kura wageni. Ndo maana Newton akajisemea for every action,there is an equal and opposite reaction.
Lissu haaminiki, yule sio Kiongozi ni Mwanaharakati....bila shaka wanaompinga wanazingatia hoja hizo.Vigezo vya CCM wanaupenda udhaifu wa nyalandu
Wewe ndiwe kichaMbona tunaongozwa na waliojiita vichaa na mawe na bado tunasonga tu? Hujafa hujaumbika.
Bahati mbaya wanaompinga (kama wewe) sio wanachama wa Chadema hivyo hawamchagui wao.Lissu haaminiki, yule sio Kiongozi ni Mwanaharakati....bila shaka wanaompinga wanazingatia hoja hizo.
Acha uzushi huo ....... probably that is your wish. Mbona Dr. Slaa aligombea 2010 .... au unataka kusema kuwa that time naye alikuwa na pesa kabla ya kuishiwa 2015?Mbowe hawezi kukubali mgombea urais masikini kama Lisu, Chadema misingi yake ni ubepari kutafuta pesa lazima Nyalandu apitishwe, Nyalandu ni tajiri
Kila la kheri. Mtuletee mgombea anayeuzika.Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.
Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.
Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.
Stay Tuned.
Ccm kwani uchaguzi kwenu si tayari mna mgombe?? Mambo ya chadema yanawahusu nini?unaijua CHADEMA wewe? muadilifu dr. slaa alitupwa pembeni akateuliwa fisadi lowasa kugombea urais. CHADEMA wanachotaka ni pesa, hayo mambo ya kupendwa na watu sio kipaumbele chao!
Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.
Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.
Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.
Stay Tuned.
Ni Yeye Aiseeee!!! Atosha.Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo imewapitisha Tundu Antipas Lissu Lazaro Nyalandu na Dr Mayrose Majige kusaka nafasi ya kuwania Urais Tanzania.
Katika kikao chake Cha Kamati Kuu kilichomalizika usiku mnene majina hayo Leo yataletwa ndani ya Baraza Kuu ambao watakata mzizi wa Fitna kumpata mgombea mmoja baada ya kupigiwa kura na jina moja kuwasilisha ndani ya Mkutano Mkuu kesho kuidhinishwa.
Yeyote atakayepitishwa na Baraza Kuu anafaa kuwania Urais Kama vigezo vilivyowekwa na kuchambuliwa na chama hicho.
Stay Tuned.
Nimetoa mawazo yangu tu, ila nitafurahia akiikosa hiyo nafasi.Bahati mbaya wanaompinga (kama wewe) sio wanachama wa Chadema hivyo hawamchagui wao.