Yametimia, Mahakama Kuu yaamuru Paul Makonda ashtakiwe

Hii kesi ya kumshtaki makonda naona inalazimishwa na wauza unga, mashoga na timu gaidi wamejaa chuki nae
 
Makonda alidhulumu haki za mashoga na wauza madawa ya kulevya kufanya biashara zao
 
Are you an American ??🤣
Of course, Yes I am. You know that Africa is the heart of our economy heart and we have not yet earned it. We must protect Africa for America. Thank You
 
Vita ya matajiri ni mbaya sana
Mambo yote aliyotufanyia manji bado unamuona kaonewa alitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kwenda jela.

Makonda alikuwa sahihi ila hakutumia njia sahihi.
 
We kweli frustration..
 
/the apathy of the people of that war-torn country comes from their having seen too many horrors
 
Sasa huyu mtu anafanya mini nchini?!
Si akimbilie hata Sudani huko, Somalia au hata afughanistan.
 
Hayo mtaeleza mahakamani kama mnaona yatawasaidia. Kama ni kweli hakua jizi, jambazi, gaidi na tapeli, basi hamna haja ya kuogopa kwenda mahakamani.

Tulizeni miguu, ni muda wa sindano!
 
Hizo zilikuwepo enzi zile mpk makonda akavamia clouds na kutaja majina watu ambao wanauza dawa za kulevya bila kufauata sheria
Nashangaa watu wanataka kujisahaulisha mapema kiasi hiki. Mambo hayo yalitamalaki awamu ya tano.

Enzi za mwenda zake mtu anaingia kwenye biashara za watu anapora pesa na mali kisa eti hamumjui yeye ni nani!!!? Halafu tunaambiwa eti ni mtu wa kitengo
 
Lengo ni kumsafisha Makonda tu ili arudishwe kwenye teuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…