Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Sisi tuliyoshuhudia zile Vurugu za MwembeChai Mwaka 1998 tunajua akina nani hasa huwa wakorofi

Haya mambo huwa yanaanza kidogo kidogo na hupamba moto kuelekea kwenye Mwaka wa Uchaguzi

Tuungane kuyakemea Kwa ustawi wa MAMA TANZANIA
 
SHAME ON YOU
 
Teh teh teh,uislam hauna nguvu katika muktadha upi?

Yaani Kwa kuwa unasema wewe tuh kuwa waislam hatuna nguvu huku bara then what?uislam hauna nguvu kwenye kitu Gani hasa,fafanua...

Makafiri tunajua chuki zenu kwetu waislam na uislam kwahiyo hamtupi shida,eti unasema matukio yote ya kihalifu hutokea kipindi Cha Ramadhan,matukio yepi?

Nimekuchallange kuwa huenda anaepigwa hapo akawa ni muislam vile vile,ulichojibu ni hisia zako tuh...

Eti sote tupo kwenye mfungo,kwani makafiri na nyinyi mnafunga?hiyo kwaresma mnafunga kula au Nini exactly,mbona tunaona mnaendelea tuh na ratiba zenu za maakuli kama siku zote,do you know the exact meaning of fasting?
 
Watanganyika rudini kwenu
 
Takhbiiiiiiìirrrr !!!!
 
Kama swala dogo kabisa la kula linamkwaza mtu kiasi cha kukamatwa na kuwekwa ndani, je swala kubwa kama kuona paja la mdada mwenye shape ya kibantu na rangi ya mtume utaliweza kweli?

Hawa ndugu zetu wajitafakari sana!!
 
Kwa kuing'ang'ania Zanzibar tunajiundia Israel na Palestina ya kwetu.
 
hii sio dini hili ni kundi kubwa la wahuni walah
 
Imani ya mtu inapokua kikwazo kwa asiyeiamini inakua tatizo.
Mtu hajaingiza chakula msikitini kwanini mumpige kisa amekula mchana?
Nimejiuliza kwani huko Zanzibar hakuna wasio swali? Mbona hawachapwi viboko wakaswali? Hapauzwi pombe na nguruwe huko?

Mnataka kusema hakuna waliosamehewa wasifunge?
Watu wajifunze kuvumiliana huo ndio uungwana
 
UISLAM ni Dini ya kihuni.

Haiwezekan muumini huna uvumilivu kiasi kwamba, Kula kwangu, kukufanye wewe utende Dhambi.



Ulaya Marekan wanaipiga vita Dini hii sababu imekaa Kaa kimchongo mnoo
Dini ya kihuni kushinda ile ambayo kiongozi wake Mkuu anatoa Ruksa ya Sodom na kuwaruhusu wafuasi wafunge ndoa za mashoga?

Ulaya na marekani ambako unasema wanaipiga vita dini hii wenzako maelfu Kwa maelfu wanaingia kwenye dini hii,utabaki pekeyako au labda na mwamposa...
 
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸ†’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…