Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kampuni nyingi za ulinzi zinalipa tarehe 10 ili ukiach kazi uwe umefanya kazi siku 10 bureMlinzi analipwa elf 4 kwa siku na bado anakopwa mwezi ili asikimbie kwa hofu atapoteza mshahara wake anaodai.
Ulipwa siku 40 badala ya mwisho wa Mwezi.
Pana jamaa alikuwa anakanyaga Toka airport dar Hadi kawe lindoni.
Chocho zote za shortcut anazijua
Nani asimamie hili?Kuna Mbwa anakula cha juu hapo sio huko tu Tanzania nzima cheap labours wanaonewa sana kwenye suala la malipo
Wacha kudanganya watu hapa,unanikumbusha ya Kikwete ujambazi ulipokithiri kipindichake alisema hata Japan ni hivihivi,serikali inawajibu wa kupanga kima cha chini kuanzia let says 20,000 kwa siku hawa watu ni muhimu sana kwenye hivo viwanda usiwadharau ati unskilled worker,hivo virobo hao kina Moh na Huko Mkuranga kama sio wao kiwanda kitaenda??Mkuu hio upo dunia nzima, unaposikia Wazungu wanakimbilia china kwa ajiili ya cheap labor ndio kama hao, saizi wanatoka china wanaenda India kwa ajiili ya watu kana hao,
Unskilled labor dunia nzima mishahara yao ni mbuzi tu, mana wanakuwa hawana mikataba, day worker tu,
Kwa kusema hivyo tuhimizane ndugu zangu kusoma sanaa
Wabongo wezi sana, kuna sehemu hua wanapaki Malori jamaa wakifika pale ni kufyonza mafuta tu alafu wanauza wizi wizi tu kila konaWanalipwa elf 4 kwa siku lakini muhindi mchina akijipindua TU ashapigwa wabongo kwa upigaji hatari.
Pana Moja boksi zinashushwa au pakiwa muhindi anahesabu mara anaitwa au semeshwa TU akigeuka TU boksi tatu nne za chapu chapu zishampita Dili la dereva na wapakiaji.
Kwa elf 4 hio hio mtu aachi kazi mwaka wa kumi na anajenga.
Mswahili humuwezi
tatizo mama anaupiga mwingiJf Moderator nyuzi kama hizi hatuoni mkizipost kwenye page zenu za social media tatizo ni nini?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Huko juu waliokaa kwenye viyoyozi kuna Mawaziri wa Kazi sijui Bodi ya Wafanyakazi na wengine wametanua makwapa tu kwenye viyoyozi watu huku chini wanakula msotoNani asimamie hili?
Bila hao hakuna kiwanda20,000 kwa siku hawa watu ni muhimu sana kwenye hivo viwanda usiwadharau ati unskilled worker,hivo virobo hao kina Moh na Huko Mkuranga kama sio wao kiwanda kitaenda??
Fanya kazi acha uvivuKuna kiwanda kiko Pale Keko karibu na ukumbi wa DDC nadhani ni cha cello. Malipo kwa siku ni sh. 3500 kwa siku ilikuwa kwa muda mrefu. Sasa ni sh. 4000, kazi masaa 12 yaani lisaa limoja sh. Mia tatu na centi.
Viwanda vingi malipo ni sh. Elfu 5000 kwa siku, hii maana yake lisaa limoja la kazi ni sh. 400. Viwanda vyenye majina makubwa malipo kwa siku ni sh. 7000 hii maana yake lisaa limoja sh mia 6.
Hata kama ni non skilled labor ni haki Mtanzania alipwe sh. Mia 4 kwa lisaa limoja? Ni utumwa wa wazi uliopata baraka za serikali.
Hawa mabilionea wetu akina Bakhressa na Mo huwabebesha Watanzania viroba vya unga wa ngano kwa sh. 50 au pungufu kwa kiroba kimoja. Ni utumwa.
Nimewahi kufanya kazi siku moja tu kwa wahindi Kariakoo ni zaidi ya utumwa , kula juu yangu, nauli juu yangu malipo 7500 kwa siku na kazi very risk. Kazi ya kupeleka mizigo ghorofa ya 12 kutoka chini. Sikurudi tena.
Kwani fomu ya urais si shilingi milioni 1 tu wakuu? Na waalimu si walishatoa hela za kununulia fomu?Juzi WAnawake walichanga 120M kumchukulia raisi fomu ya kutetea nafasi yake, kumbe Kuna nguvu kazi inapotea viwandani Kwa ujira wa sh.4000/=
Kibarua anakatwa PAYE?Na bado hapo Serikali haijamuibia huyo mfanyakazi kwa kupitia PAYE, magumashi ya bima ya afya, magumashi ya mafao na vikokotoo vyao. Inasikitisha.
Hao wasimamizi wenyewe ni weziKwanini? Kwani hakuna usimamizi?
Hahaha.......duuhHao wasimamizi wenyewe ni wezi
Swali lako ni too general,Umehifunza nn hasa kama ulitokea kama mfanyakaz wa ngazi ya chini katika kampuni hizo
Mkuu hiv vitu haviend kwa hisia, vinaenda kwa hesabu tena kali sana,Wacha kudanganya watu hapa,unanikumbusha ya Kikwete ujambazi ulipokithiri kipindichake alisema hata Japan ni hivihivi,serikali inawajibu wa kupanga kima cha chini kuanzia let says 20,000 kwa siku hawa watu ni muhimu sana kwenye hivo viwanda usiwadharau ati unskilled worker,hivo virobo hao kina Moh na Huko Mkuranga kama sio wao kiwanda kitaenda??
Mkuu, serikalin mwalimu mwenye degree analipwa 710k kama kianzio (basic) sawa na 23 hiv kwa siku, hao ea diploma wanalipwa 520k sawa na kama 18 hiv kwa siku,Tutafute namna ya kuwasaidia hawa watu wetu,sio kila mtu anaweza kuwa na hilo shamba,tuishinikize serikali isikubali watu wake wanyannyaswe kiasi hiki,hawa ni nduguzetu na hii ni nchiyao,mbona Zanziber hakuna upuuzi huu??? Day works sio chini ya 20,000.
Je mimi nina content mkuu..dunia haina huruma. unalipwa kwa jinsi unavyojipa thamani.
kwa sasa Tanzania hela ipo kwenye content creation ukiweza kujitoa akili, kina mwijaku wanajenga maghorofa, makonda wa ma bus Tilisho huko wananunua vi IST sababu ya content zinazoleta hela za matangazo. jitoe akili pata ma followers hela itakuja yenyewe
Una unlock mind huku una njaa, watoto wamefukuzwa ada shuleni na mwenye nyumba amekutolea vitu nje... Hizi theories haziko general kila contextKind of theories
Ku-unlock akili huku huna hat 100 utafanya nini na hip akili uliyo unlock, talking like tuna pretend kujifanya hatujui mtaji hakuna....You need initial money to move, hizo pesa hupati kwa akili yako kuwa unlocked.