Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Majimbo ya Ukerewe na Rorya

Ukerewe ni Chadema na Chadema ni ukerewe,Mwaka 2010 Chadema walipata mbunge hapo,mwaka 2015 tena Chadema walipata mbunge kabla hajaunga Juhudi. na wamekuwa watu wa upinzani bila hata viongozi wa Chadema taifa kwenda kufanya kampeni huko.Chadema Wameongoza halimashauri ya ukerewe kwa awamu pili sasa.
 
Hivi kurudia kusoma kabla hujapost ni dhambi??

Sasa umeandika nini hapa.😂
 

Hivi waliosababisha hivyo vifo ni nani hasa.tuanzie hapo labda.na ni nani wa kulaumiwa zaidi ,aliyesababisha vifo kwa uzembe na maksudi au ambaye hakushiriki msiba wa vifo uliosababishwa na uzembe
 
Walifikiri kuzuia meli kutafanya watu wasiende ukerewe ? Walianza helkopta sasa meli wameishiwa mbinu wamebakiza kufanya ujinga tu , mwaka huu watapiga magoti Mpaka yachubuke .
 
Mungu mbariki Tundu Lissu. Mlinde na wabaya wake wote
 
Wewe unaonekana ni mgumba, siyo kwa hili gubu. Na Mungu amekupa stahili yako. Stress uliyonayo itakutoa roho. Post zako nyingi sana humu ni za uongo uongo, unafiki wa hali ya juu na uzushi wa hovyo hovyo tu. Kuwa makini na hali yako. Na kama unao ndugu zako humu wafuatilie kwa ukaribu mwenendo wako.
 
Hakika kama hali ndio hii CCM wajiandae kukabidhi madaraka kwa utulivu tuu kwani ukweli ni kuwa wamechokwa na wao bila kutambua wanalazimisha kuchokwa zaidi na kuchukiwa.

Kitendo cha kumfanyia figisu Lissu asiende kisiwani Ukerewe eti Kivuko kibovu kisha Lissu akaamua Ku risk na kutumia mtumbwi ili afike Ukerewe kimemgeuza kuwa Shujaa mkubwa na ukijumlisha na spana alizochakazia huko basi mambo ni bambam na CCM Imeisha.

Jee kweli CCM itapona mwaka huu? Maana hata wazee na kinamama ambao ndio walikuwa tumaini kuu la CCM nao wameitosa CCM na Magu ndio kabisa hawataki kumsikia.


 
Lisu ni YEYE, awamu hii CCM inapelekwa makumbusho. Mwezi huu ni mwisho wa wasiojulikana, mauaji na utekaji wa raia wema
 
Dada una mwandiko mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…