Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Uchaguzi 2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Wakati tunafurahia hiki kimbuka tukumbushane kwamba kura za urais hazina maana kama hatumpi na wabunge na madiwani aambatane nao. Rais asiye ba bunge hataweza kufanya chochote. Tukampe Lissu wabunge na Madiwani anaowataka.
 
Huu uchaguzi usichukuliwe poa kabisa, kuna jambo linaenda kutokea naamini kati ya Lissu au Membe mmoja anakabidhiwa funguo.

Kwa nini Membe?

1. Ifahamikee Lissu anaweza kushinda na akishinda ccm hawawezi kumpa nchi watatumia njia ya ku_bypass na ndipo dodo linamdondokea mbobezi Bernard ikiwa na maana siyo threaten kwa ccm.

Na kwa nini asiwe Lissu?
2. Endapo itafahamika kweli kashinda, msimamo wake na nguvu itakayopatikana kutoka kwa Umma pamoja na watu kusimama imara kwa lolote hii ndiyo njia itakayofanya kwa mara ya kwanza shetani aone haibu.
Rais Ni Lissu system za nchi zishahamua
 
Wanategemea kucheza na mawakala....kwamba kiapo kipo kesho ila barua ya utambukisho hakuna...ati utaikuta kituoni ...

Pia mchezo wa mawakala kutekwa upo...yaani kama vilevile wakati wa kurudisha form za uteuzi... unapotea asubuhi unaonekana saa tisa mchana umelewa chakali

CDM kuweni makini msiseme hatukiwatonya.
CDM peke Yao hawawezi nyinyi wananchi mnatakiwa muwasindikize na kuwalinda mawakala kwa wingi wetu.
 
Huu uchaguzi usichukuliwe poa kabisa, kuna jambo linaenda kutokea naamini kati ya Lissu au Membe mmoja anakabidhiwa funguo.

Kwa nini Membe?
1. Ifahamikee Lissu anaweza kushinda na akishinda ccm hawawezi kumpa nchi watatumia njia ya ku_bypass na ndipo dodo linamdondokea mbobezi Bernard ikiwa na maana siyo threaten kwa ccm.

Na kwa nini asiwe Lissu?
2. Endapo itafahamika kweli kashinda, msimamo wake na nguvu itakayopatikana kutoka kwa Umma pamoja na watu kusimama imara kwa lolote hii ndiyo njia itakayofanya kwa mara ya kwanza shetani aone haibu.
Unawaza na wowowo...
 
Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga.

Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea kinachoendelea kila anapopita.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.

View attachment 1605808

========

Lushoto
View attachment 1606397
Ngome ya CCM Lushoto imebomoka leo tena. Daah magufuli umepoteza sana muda aisee.
 
Back
Top Bottom