Kwa hiyo unakili kuwa shambulizi la Iran dhidi ya Israel lilikuwa na madhara makubwa ndo maana Israel ikajibu?Hivi huyu Iran anataka nini, si alisema shambulizi la Israel halikuwa na athari yoyote ya maana sasa iweje anataka aishambulie tena Israel..πππ
Sheria za vita zipo na zina manufaa iwapo zikifuatwa,mfano mzuri ni vita ya Urusi na Ukraine asilimia 95 ya walio kufa kwenye hiyo vita ni wanajeshi tu.Wapasuane mbabe ajulikane patulie
Zingatia Vita Haina macho na hazinaga Sheria. HizΓ΄ zinazoitwa sheria za vita NI geresha tuu
Sheria za vita zipo na zina manufaa iwapo zikifuatwa,mfano mzuri ni vita ya Urusi na Ukraine asilimia 95 ya walio kufa kwenye hiyo vita ni wanajeshi tu.
Ndio maana Wayahudi wa kike walipiga viwanda vyenu vya silaha na kujamisha radarπSheria za vita zipo na zina manufaa iwapo zikifuatwa,mfano mzuri ni vita ya Urusi na Ukraine asilimia 95 ya walio kufa kwenye hiyo vita ni wanajeshi tu.
We utakuwa kijana mdogo sana" kibao kata ulicheza kweli"...."...kalale nacho..." Kwenda kulala nacho maana yake we ni dhaifu.Hivi huyu Iran anataka nini, si alisema shambulizi la Israel halikuwa na athari yoyote ya maana sasa iweje anataka aishambulie tena Israel..πππ
HizΓ΄ Sheria ni geresha tuu.
Hiyo ya Ukraine ni operation tuu.
Vita ni Kuua na kuangamiza Basi.
Wananchi wasiouawa tafsiri Yake wamejisalimisha na kuungana na adui
Na israel pale gaza anapoangamiza raia yupo vitani au yupo kwenye operation
Baadae IRAn akaona atakosa sababu ya PROMIS NO 3 so akangaza wqjeda w4 wamekufa na majanga mengine kisha mbio akaenda UN kulalamika kushambuliwa na ISRAEL sasa ndio analipiza nayeye kushambuliwa kaa kwakutulia kula msos mapema ushibe yajayo ktk PROMIS NO 3 sio poa baada ya apo utakumbuka hii msg AKUNA TENA ISRAEL wala USA WA ULAYA watamjibu IRAN kijesh wataogopa PROMIS NO4 USA na wenzie watarudi kwenye vikwazo vikali utasikia vikwazo vikali sana π¬π¬π¬Hivi huyu Iran anataka nini, si alisema shambulizi la Israel halikuwa na athari yoyote ya maana sasa iweje anataka aishambulie tena Israel..πππ
Sasa anawaambia jirani ili iweje! Si apeleke moto? Baada ya hapo asubiri maana gea ya kwanza ni vinu vya nuclear na mitambo ya mafuta!Duru zinasema kuwa Iran imezijulisha nchi za kiarabu zilizo eneo hilo kuwa inajiandaa kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel.
Iran imefafanua kuwa shambulizi linalo litakuwa na nguvu sana na silaha zitakazo tumika zitakuwa na nguvu kuliko la hapo awali.
Ndoto nzuri sana hii!Baadae IRAn akaona atakosa sababu ya PROMIS NO 3 so akangaza wqjeda w4 wamekufa na majanga mengine kisha mbio akaenda UN kulalamika kushambuliwa na ISRAEL sasa ndio analipiza nayeye kushambuliwa kaa kwakutulia kula msos mapema ushibe yajayo ktk PROMIS NO 3 sio poa baada ya apo utakumbuka hii msg AKUNA TENA ISRAEL wala USA WA ULAYA watamjibu IRAN kijesh wataogopa PROMIS NO4 USA na wenzie watarudi kwenye vikwazo vikali utasikia vikwazo vikali sana π¬π¬π¬
Unajua kinafuata nini ukigusa mitambo ya mafuta ya Iran!?Sasa anawaambia jirani ili iweje! Si apeleke moto? Baada ya hapo asubiri maana gea ya kwanza ni vinu vya nuclear na mitambo ya mafuta!
Iran hamiliki Suez Canal! Hiyo route itaendelea kuwepo!Unajua kinafuata nini ukigusa mitambo ya mafuta ya Iran!?
Tarajieni Mediterranean sea ifungwe kama ilivyofungwa red sea.
Israel kikawaida yeye anapiganaga vita
Mafuta hupita strait of hormuz,ambayo ni bahari ya Iran,mafuta na gesi yote ya saudia,qatar etc,we furahia tu refinery za mafuta za Iran kupigwa,nauli ya daladala itakua buku tano kimara-gerezaniIran hamiliki Suez Canal! Hiyo route itaendelea kuwepo!
Siku ana pekechepekeche kusha anapekechua nchi takatifu, subiri uchaguzi USA upiteMpigaji serious hukaa kimya.
Sasa huyu muajemi pekeche pekeche zote hizi anadhani haziwafikii walengwa?
Suez canal inaenda wapi ukitoka Israel!?Iran hamiliki Suez Canal! Hiyo route itaendelea kuwepo!