Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Hahaha...haitokaa itokee.Historia inaenda kuandikwa......nakwenda kushuhudia anguko la taifa dhalimu za ISRAHEL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha...haitokaa itokee.Historia inaenda kuandikwa......nakwenda kushuhudia anguko la taifa dhalimu za ISRAHEL
Unafumba macho ili usione uhalisia.......Hahaha...haitokaa itokee.
Uislamu utakumalizaHistoria inaenda kuandikwa......nakwenda kushuhudia anguko la taifa dhalimu za ISRAHEL
najua na naomba Mungu kabisa iwe hivyo vita ikolee Dunia ipate matokeo ili sasa wakikaa kuamuana waheshmiane.Mbona hata wewe utalia tu, impact ya hii vita kiuchumi itakuwa kubwa sana kwetu, ngoja Iran itapopigwa penyewe utaona Kwa mf. bei ya mafuta itavyopaa...
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1779273764053610849
Iran waache utani tumelipia mechi... wanakimbia mbona
Kilichoandikwa hapa kina uhusiano gani na uislamu....??Uislamu utakumaliza
Iran ni rahisi kumshambulia kuliko Gaza maana kambi za kijeshi ziko mbali na raia na wanajeshi wanavaa mavazi rasmiIran sio Gaza mzee
Na kutokea Yemen umesahau. Mbali ya Hamas humo humo bdani ya Israel.SIONI ISRAHEL AKISHINDA VITA HII......
MAKOMBORA KUTOKA IRAQ, LEBANON NA SYRIA ATATOKEA WAPI.......
Watu hawajalala wanataka kuona drones kama zitaanguka kwenye msikiti wao au wapi, cha ajabu wanasema na mpira
Nadhani hizi ni nyakati za mwisho za ISRAHEL.....Na kutokea Yemen umesahau. Mbali ya Hamas humo humo bdani ya Israel.
Majeshi ya USA na NATO yote yachaguwe sasa, Ukraine au Israel.
Cha ajabu makombora hayafika hata IsraelSIONI ISRAHEL AKISHINDA VITA HII......
MAKOMBORA KUTOKA IRAQ, LEBANON NA SYRIA ATATOKEA WAPI.......
Unataka kunambia IDF ichapane uso kwa uso ardhini na jeshi la iran?? We unachekesha sanaIran ni rahisi kumshambulia kuliko Gaza maana kambi za kijeshi ziko mbali na raia na wanajeshi wanavaa mavazi rasmi
Tofauti na Gaza hamas wanajificha nyumba ya wanawake na watoto huku wengine wakivaa hijab
Binadamu wote ni sawa na nisingetamani nione wairan wakipewa kipigo Kama Gaza kwa sababu ya MTU mmoja ameshindwa kutambua mtego AyatollahWanaoingia vitani Iran, hofu unapata wewe.
Unawapenda sana Iran eeh?
Pitua tena vizuri posts za juu kidogo, makombora mengine yashatuwa.Cha ajabu makombora hayafika hata Israel
Hata kama hayajafika lakini ni ujumbe kuwa waajemi sio watu wa mchezo mchezoCha ajabu makombora hayafika hata Israel
Sasa mwenzeke amepata sababu ya kumpigaHata kama hayajafika lakini ni ujumbe kuwa waajemi sio watu wa mchezo mchezo