Mbona picture hakuna yaani Israel hakuna mwarabu mwenye smartphone aonyeshe hayo maafa alioyapata Israel?Hizo ni propaganda makombora mengi yametua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona picture hakuna yaani Israel hakuna mwarabu mwenye smartphone aonyeshe hayo maafa alioyapata Israel?Hizo ni propaganda makombora mengi yametua.
Hii vita itapiganwa kinafiki lakini itakuwa na kivumbi sanaIndia nae kaongea kuonyesha kuwa anafuatilia kwa ukaribu
US anasema hawezi kuishambulia Iran ila atamuhami muisrael angalia unafiki huo
Israel njia yake ya kujibu ni tofauti na Iran, sababu israel yeye atalenga tu target yake moja ambayo itahit, yeye akipiga moja tu inaondoka na top General wa Iran, Iran ni kama hakuna alichofanya zaidi ya matambo tuu..sasa unarushaje makombora 300 alaf yote yanatunguliwa iraq na jordan? yaliyofika israel ni kama 1% ambayo nayo yametunguliwa..sasa alichofanya kimeleta madhara gan kwa israel?Maneno meeeeeeengi, Israel Kama ana ubavu ajibu.Simple tu
Wakati huo mashoga wakishangilia Kwa kugawa mtaro wa maji taka bureSoon wavaa ushungi na magauni ya kiume wa Buza waraanza kulia watakapoona ndugu zao wanafyekwa miguu na Myahudi
Video zipo nyingi tu ww kama huja ziona ni uboya wako tu.Mbona picture hakuna yaani Israel hakuna mwarabu mwenye smartphone aonyeshe hayo maafa alioyapata Israel?
Wanaua wanawake na watoto, huo ni ukweli Na watakapoua wapenda haki wataongea.Ngoja tuone hii vita badae tusije kusikia Israel anaua watoto na wanawake. Uzuri bado tupo.
Israel alijiona mwamba wa kufanya kila kitu anachotaka na hakutegemea Iran atalipa tuHii vita itapiganwa kinafiki lakini itakuwa na kivumbi sana
Husikii hawaongei Hebrew wala kiarabuBabu mbona unakuwa kichwa ngumu. Nina video kibao Israel kapigwa.
Kuna haja gani ya kukuuliza kama nafahamu?Sifahamu, wewe unajua kama wamewahi kupigana vita?
Unachekesha kweli. Hizo drones na missiles jana zimerushwa kutokea Iran zaidi ya km 2000 wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan kwani huko kote zilipopita hakuna uli
UlinziUnachekesha kweli. Hizo drones na missiles jana zimerushwa kutokea Iran zaidi ya km 2000 wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan kwani huko kote zilipopita hakuna ulinzi?
Hizo nchi nyingine walianza kuzuia lakini imeshindikana
Kwahyo unafikr ilaq inaweza zuia offense za Iran ukitegemea wote mahasim wa Israel jiongeze na Iran alitoa tamko la atakayeluhus angalake kutumika na Israel watakua maaduiUnachekesha kweli. Hizo drones na missiles jana zimerushwa kutokea Iran zaidi ya km 2000 wameanza kuzuia kuanzia Iraq mpaka Jordan kwani huko kote zilipopita hakuna ulinzi?
What about direct war?via proxy war
Waingie tu, kwani we utaathirika na nini?Sawa, ila conflicts kama hizi zinaweza kupelekea wakubwa hao kuingia vitani.
Unaweza kutuwekea ushahidi wa hili? Au umemsikia tu Imam wenu msikitini akisema hivyo?Media kubwa zote zinalipwa na mazayuni zisirushe habari zisizoluwa na propaganda zao. Na sasa wameanzisha kampeni ya dunia nzima kuwanunua hata media binafsi (Pro Palestine) wasiandike dhidi yao.
Nakuona unamuonesha mipango 😂😂Kiduku ndo kaamka mida hii,dadake anamuonyesha ni wapi pakuanzia kama wao wakilazimika kufumua ubongo wa nchi flani.
mimi ni Team Kiduku hata suruali zangu zote ni mabwanga.
View attachment 2963219
Maneno mengi hayahitajiki,tunasubiri vitendo.Israel njia yake ya kujibu ni tofauti na Iran, sababu israel yeye atalenga tu target yake moja ambayo itahit, yeye akipiga moja tu inaondoka na top General wa Iran, Iran ni kama hakuna alichofanya zaidi ya matambo tuu..sasa unarushaje makombora 300 alaf yote yanatunguliwa iraq na jordan? yaliyofika israel ni kama 1% ambayo nayo yametunguliwa..sasa alichofanya kimeleta madhara gan kwa israel?
mfano jana usiku watu wa telaviv walikua wanajua makombora yameshatumwa yanakuja kwao na walikua wanaendelea na shughuli zao kama kawaida yani.
Enzi hizo hakuna internet tunadanganywa tu. Mfano leo ukisikiliza vyombo vya habari makombora yote ya Iran yamekuwa intercepted ila ukienda X unakuta video live kabisa Irone dome inapishana na missile base za Israel zinachakazwa.Nawakumbusha tu. Israel ameshapigana vita kama hizi kwa kuchangiwa na Arab States na akashinda vita zote. So hii si mpya kwake. Mfano vita ya Yom Kippur, alichangiwa na Arab States zaidi ya 8 na akashinda. Ni suala la muda tu.
Kwa hali inavyoonekana ni dhahiri kuwa Israel hawezi kurudisha mashambulizi.....NI kwamba amekubali yaisheIsrael alijiona mwamba wa kufanya kila kitu anachotaka na hakutegemea Iran atalipa tu
Israel bila USA ni trash tu
Umeona waisrael waliokwapua ardhi na nyumba za wapalestina wanavyoikimbia Israel leo baada ya kufungua airspace kidogo tu
Wote wanapigana vikumbo airport
Vita ni vita tu ila kuna watoto hawajui bali ushabiki tu
Leo shelf zote supermarkets zipo tupu yaani drones tu