LIVE Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran
Live coverage on JamiiForums
Kesho 7 October itapita itakuwa kesho kesho lkn Iran ashasema akuna shetani mwenye ujasili w kushambulia Iran sasa sijui mnasubili mashambulizi ya simba na yanga anajiamini na alichonacho na anajua wengine awana ndio mn kabutua babawao kitechnology Israel kwake. uko ktk mikambi yao jesh la sijui ndio babamkuu Lao kachapika akawa hoi hoi mnataka nn tena. Ulaya yote imeufyata Iran sio poaaa
 
BIG NEWS 🚨 Israel has reportedly planned to strike Iran's nuclear and oil facilities.

US said Israel has a right to defend itself proportionately.

US preparing for more sanctions against Iran.

Will Iran lose everything to Israel? Iran is more scared now as Israel remains silent.

According to analysts, Israel's response would be more severe than what people are thinking.

Endless line of cars for gas station in Tehran, they know that Iran's Oil & Gas Infrastructure isn't going to last long if Israel will retaliate.

View attachment 3116894
Israel yenyewe haina nuclear sites, haina fuel depot, haina valuable facilities ????

ngoja tuone,
inaonekana aliumizwa sana eeeeeeeh
 
Bandugu akuna icho kitu msiote mchana akuna wakubwa akuna konjera yyte ohh mala USA anataka kumruusu lkn asipige pale na pale yote mapicha picha tu elimikeni Iran wakubwa kidunia ktk technology vita ni technology kuwa na jesh kubwaaaa au bondia kuwa na mwiri mkubwaa ndio kupata ushindi embu ona tyson na Bruno kama mwili ndio nguvu saaii tyson tushazika😆😆 mywether ajawai pigwa japo anakamwili kadogo. Si kila kitu ni akili ndio muimu. Na vita ni technology ndio inashinda sio kuwa na jesh kubwaa maviuma viuma makubwa mimeri mindege kama ayana technology bola ya kisasa ayana nafasi yyte ayakupi ushindi sababu adi sasa Iran anaonekana m'babe ki technology zaid Western yote. Kwaiyo sijui amapewa ruusa wapi, iyo vita media tu uyo USA mwenyewe atii mguu Iran sasa mnataka atoe ruhusa ikiwa yeye uwezo ana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Mbona Kama unaongea usenge
 
While this may stand as strong accusations, inawezekana ikawa kweli, two thread zimefutwa, the first one was intended to show the reality of war, huo ndo ukweli ata kama mmefuta ya pili ilitaka kuprove kama nyie ni mamluki,


Mnaacha mada nyepesi zinazozidi kuwapumbaza watanzania wengi zilizojaa ujinga na zisizoelimisha na zenye ukweli ndani yake mnazifuta.

This is bullshit watanzania msikubali hu ujinga or else tutaaingia chimbo na kuja na chati forum nyingine, and that's will be the end of you


Rudisheni post zangu kama nyie sio mamluki.
 
Nimepost mmefuta njoonj mfute na uku kumbe jamiiforum imejaa mamluki watu wachache wapo kwaajili ya kupumbaza uma hii haikubaliki
 
Kitu pekee ambacho Israel ataweza dhidi ya Irani,ni kumfatilia mtu moja moja na kumuua-hana uwezo wa kuishambulia Irani maana siku akifanya hivyo ndio itakuwa mwisho wake kwenye ramani ya Dunia.
 
Sasa mimi ni Muiran na Mrussia pia, kazi tunayo.
Hawawezi wakathubutu!

Kanuni ya Iran kama unavyofanya ndivyo utakavyofanyiwa.

Aidha, Gulf states huo ukanda ambao una base za kijeshi nyingi za Marekani, imemwambia hawahitaji vita. Ikiwa wakiruhusu Marekani atumie base zake nchini mwao tafsiri yake wao watakuwa "a legitimate military target" kwa Iran kwani Israel haina uwezo wa kupigana na Iran, mifumo yao ya ulinzi wa anga haipo salama.

Israel kwa sasa tatizo ni Benjamin Netanyahu! Huyu binadamu anasumbuliwa na ego!
 
Mbona naona taarifs twita kwamba israel kaingiza vifaru tena northeen gaza kuwatafuta hamas. Hii maana yake ni nini?
 
Hata Kama Israel ikiisha yote,Niko nayo sambamba mpka yesu arudi kwa mara ya pili.
Wayahudi walishamkataa Yesu na kwao si masihi!

Wao wana masihi wao wanamsubiria tofauti na Yesu ndiyo maana wapo kwenye hekaheka ya kujenga hekalu lao hapo kwenye msikiti wa Al Aqsa.

Ikiwa kama wamemkataa Yesu kama masihi wao watakuwa wanamsubiri masihi gani?
 
Kwa mazingira yaliyopo ni suala la muda tu, Iran akiachwa maana yake Israel utaishi kwa shida sana, kila siku itakuwa inapigana na makundi ya kigaidi.
 
Kwa mazingira yaliyopo ni suala la muda tu, Iran akiachwa maana yake Israel utaishi kwa shida sana, kila siku itakuwa inapigana na makundi ya kigaidi.
Israeli anaelewa Iran inabidi afutwe tatizo ni how?
 
Back
Top Bottom