Kesho 7 October itapita itakuwa kesho kesho lkn Iran ashasema akuna shetani mwenye ujasili w kushambulia Iran sasa sijui mnasubili mashambulizi ya simba na yanga anajiamini na alichonacho na anajua wengine awana ndio mn kabutua babawao kitechnology Israel kwake. uko ktk mikambi yao jesh la sijui ndio babamkuu Lao kachapika akawa hoi hoi mnataka nn tena. Ulaya yote imeufyata Iran sio poaaa