Magu kakata tamaa kalala tena nyumbani.Kuna watu tunatoa sifa na matumaini kwa wagombea wetu mpaka wagombea wenyewe wanashangaa jinsi wanavyotumainishwa! All in all yote kheri, 28 Oct hiyoooo! Hii si kama show ya simba na yanga, Mara ratiba kubadilishwa, hii ni no matter what could happen, ratiba haibadilishwi! Na kakinglish nimetumia , hahahah!
Mabango ni mengi kuliko hata wapiga kura wake.
Hata asipotangazwa mshindi, Tundu Lissu ametuamsha mutoka usingizini. Nani aliyekuwa anafahamu ufisadi wa Chato airport? Hili halijakanushwa hata na Polepole!Mabango ya Magufuli mabarabarani mengi kuliko mabomba ya maji nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Is himKwa kingereza tunasema...HE IS! Kama nimekosaea msinilaumu.
Mikoa niliyokatia tamaa ilikuwa ni Dodoma, singida na shinyanga.....wameniprove wrong!Singida inaandika HISTORIA......kuna mtu kanuna kweli kweli
Huyo aliyepo kalimamliza? Au yeye anafaa kwa kulianzisha na kulikuza tatizo? Akili nyingine za kuvukia barabara tuKama hawezi kumaliza tatizo la ajira hafai!
Amesema Mara nyingiAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Leo Lissu yuko Singida hakuna mdumange wala kwaya, ila watu wana kanyagana kumpokea shujaa. Mbeba maono.
Tunaendelea kumchangia hadi kieleweke. Leo ninatuma buku 5.Mlisema Hana hela,kwani Kuna mlizompa Hadi azitumie vibaya.Lakini pia ambazo anawapigia spana huoni Kama amezitumia vizuri sana. Kama tungetoa hati ingekuwa ni hati safi ya matumizi ya pesa.
Watakereka sana.
Kwani shida nini? Mbona wewe ni waziri na mshahara unapata, lkn hakuna Any deliverancy.Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Kwa kingereza tunasema...HE IS! Kama nimekosaea msinilaumu.
Elezeni milion 50 Kila kijiji ziko wapi?Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Nyie hata kuligusa hamjaligusa,hapo mnavizia atoe hoja muidake juu kwa juuAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Gari la mkaa hilo kaka mdogo! Siku 1 porini, 7 gereji!Magu kakata tamaa kalala tena nyumbani.
Kipenzi chako wewe na mabwege wenzioMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Ni yeye 2020
Watanzania kila kona ya nchi wanasema NI YEYE