Uchaguzi 2020 Yanayojiri Mapokezi ya Tundu Lissu jimboni Mkalama na Singida Mjini

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Mapokezi ya Tundu Lissu jimboni Mkalama na Singida Mjini

Et nn?hahaaaa
Ratiba imetoka mzee anasema siku mbili tatu anapumzika
Unajua damu ya mtu ni uhai na uhai ni wa Mungu pekee waliyekusudia kumwaga damu yake hawawezi kuwa na amani hata kidogo.


Mtu anapokaribia kufa huwa kwanza mkali hamwamini mtu alafu zaidi ni mtu kisilani sasa
Angalia cdm watu wamerelax sana yaani mwendo mwisho furaha tele
 
Sawa TL anaweza akashinda kwa % zaidi ya 60 ila, je watanzania wako tayari kupokonya kuulinda nakuchukua huo ushindi kwa wababe ambao waka tayari kwa lolote ilahali wasipoteze uraisi? ...... ....wako wapi ambao wako tayari kufa kwaajiri ya maabadiliko?
Karata ya mwisho ya CCM ni ndio wanayoitegemea kuiba kura basi maana hata polepole kipindi yupo kwenye tume ya Warioba alisema ccm bila kuiba kura haina ubavu wa kuishinda Chadema.
 
Mwaka huu Magu atatusamehe kwa kweli! Aliota kiburi mno mpaka akatuona raia sisi mapoyoyo! Ukiangalia ile clip anayowajibu watu wa Kagera kwenye tetemeko hutampenda hata kidogo! Lilipandwa ulimbukeni fulani hivi! Sasa leo imekuwaje alilie kupendwa?
 
Mwaka huu Magu atatusamehe kwa kweli! Aliota kiburi mno mpaka akatuona raia sisi mapoyoyo! Ukiangalia ile clip anayowajibu watu wa Kagera kwenye tetemeko hutampenda hata kidogo! Lilipandwa ulimbukeni fulani hivi! Sasa leo imekuwaje alilie kupendwa?
Kwkweli magu kama sio ujinga wa watanzania na baadhi ya vigogo wanaokula kupitia yeye hakupaswa hata kufikisha miaka mitano madarakani. Hakufaa kwa lolote wala chochote.
 
Ratiba imetoka mzee anasema siku mbili tatu anapumzika
Unajua damu ya mtu ni uhai na uhai ni wa Mungu pekee waliyekusudia kumwaga damu yake hawawezi kuwa na amani hata kidogo.


Mtu anapokaribia kufa huwa kwanza mkali hamwamini mtu alafu zaidi ni mtu kisilani sasa
Angalia cdm watu wamerelax sana yaani mwendo mwisho furaha tele
Stress zinamtesa. He is guilty
 
Mcheza kwao hutunzwa.Ndivyo tunavyoweza kuelezea mapokezi ya Tundu Lissu hapo Jana alipokanyaga Ardhi aliyozaliwa.

Leo Mgombea huyo anayepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda atafanya kampeni zake katika Jimbo la Mkalama na baadaye Singida Mjini.

Tundu Lissu ameandika historia mpya ya Mgombea anayependwa na maarufu zaidi kati ya wagombea wote ingawa hajaweka bango hata moja katika nchi nzima huku mshindani wake wa Karibu akiwa ametapaza mabango kila mahali mpaka kwenye miti ya watu mashambani na vichochoroni.

Katika hali inayochekesha na kushangaza vigenge vya wanaCCM vinavyofadhiliwa na chama hicho vimekuwa vikiandaa tafiti feki za kuonyesha mgombea wao atashinda ili kuhadaa watu na labda kuhalalisha wizi wa kura.

Tunatarajia kuwaletea kila kinachojiri katika kampeni za Leo za mgombea huyu ambaye anaonekana wazi ana kibali duniani na mbinguni

---------- ------------- ---------
Yaliyotokea saa 7 Mchana

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Iguguno waliosimama barabarani kuzuia msafara wake uliokuwa njiani kuelekea Kata ya Nduguti viwanja vya gulio jimboni Mkalama Mkoa wa Singida.

‘’Maandiko matakatifu yameandika haki huinua taifa, taifa letu litainuka kukiwa na haki na tukiwa huru na tunataka maendeleo yenye maana kwetu‘’ - @TunduALissu

‘’Mtoto wako akienda shuleni au hospitali atendewe haki na sio kununua haki, mama lishe atendewe haki na bodaboda atendewe haki’’ - @TunduALissu

"Nawambia wakazi wa Singida, kama unataka kuwa huru kuuza biashara zako ukiwa huru, uuze chochote unachozalisha ukiwa huru chagua Tundu Lissu’’ - @TunduALissu

Mhe. Rais amemnadi Mgombea Ubunge Jimboni hapo Oscar Alex Kapalale.
Molemo video clip vipi?? Usituache hivi hivi aisee
 
Karata ya mwisho ya CCM ni ndio wanayoitegemea kuiba kura basi maana hata polepole kipindi yupo kwenye tume ya Warioba alisema ccm bila kuiba kura haina ubavu wa kuishinda Chadema.
Na mwaka huu mapolisi waanze kufanya mazoezi mapema,maana tunajua tume ina wapiga kura Eti milioni 29.watatuulia barabarani.
 
Tundu Lissu ni chuma cha pua. CCM watateseka sana mwaka huu. Chaguzi zilizopita walikuwa wanaiba kura za upinzani, safari hii hawana namna ya kuiba. Mkabidhini TL nchi mapema kabisa, acheni longolongo!
 
Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Watu wamechoka na maCCM. Ukidhanicho ndicho sicho. Ushindi wa Tundu Lissu utakuwa kama huyu mama alivyopata umeya. Wewe endelea tu na dharau zako jiandae kukabidhi kijiti cha uongozi kwa TL.
 

Attachments

  • Uchaguzi wa Moto.mp4
    28.8 MB
Back
Top Bottom