Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya mabadiliko imeanza kujitokeza hata kabla ya uchaguzi.Kama hawezi kumaliza tatizo la ajira hafai!
AtawaajiriAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Kimbunga lissu 2020Kazi ipo
Magu kakata tamaa kalala tena nyumbani.
Nazo hazitomsaidia chochote. Kama JK kashindwa kumsaidia anayejulikana na mwenye influence hao wengine anapoteza muda tu.Jiwe kwishne....!!naona keshaishiwa pumzi kabsaaaaa!
Kilichobakia ni kualika Marais wa nje ili azitumie kupiga Kampeni kiujanjajanja!!
Kesho nasikia amewaalika Barrick kumpa Tshs 100B lakini Ni hewa tupu. Anachotaka ni kutumia Kama mtaji wa Kampeni za CCM!!
Mtu mzima Hovyooo!!!!!!!
Ccm kwishneyTundu Lissu ni chuma cha pua. CCM watateseka sana mwaka huu. Chaguzi zilizopita walikuwa wanaiba kura za upinzani, safari hii hawana namna ya kuiba. Mkabidhini TL nchi mapema kabisa, acheni longolongo!
Nazo hazitomsaidia chochote. Kama JK kashindwa kumsaidia anayejulikana na mwenye influence hao wengine anapoteza muda tu.
Amebaki namatumaini kwenye jeshi tu. Basi.Magufuli asicheze na Watz, safari hii wanakwenda kumshikisha adabu!
Watu Wana uchungu mioyoni kwa dhuluma ya miaka 5 ya kubanwa pumzi kwa kunyimwa Uhuru wa kuongea, Uhuru wa kukusanyika, uhuru wa kuandamana, uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa, Uhuru wa kupanga mipango yao ya Maendeleo, Uhuru wa kupata Ajira baada ya kufuzu Vyuo Vikuu na Kati, uhuru wa kufanya Biashara, Uhuru wa kuabudu, Uhuru wa Kimahakama, Uhuru wa Kibunge, Uhuru wa kijinsia.......etc,etc!!!
Uhuru wa yote haya umepotea ndani ya kipindi Cha miaka 5 tu.....!!!
Kama Watz watakosea tarehe 28.10.20 kumrudisha Ikulu huyu Jiwe anakwenda kuua kabisa DEMOKRASIA, Uhuru na Utu wa Mtanzania.
Say NEVER AND NEVER AGAIN TO THE STONE "JIWE"!!!
Iwapo atatumia Jeshi liwe la Polisi, JW, Miamvuli, Magereza au Mgambo ajue tu Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai(ICC) inamsubiri kwa hamu.....!!!Amebaki namatumaini kwenye jeshi tu. Basi.
namatumaini kwenye jeshi tu. Basi.
Ndiko anako elekea maana hana tumaini jingine. Kwa kura hawezi kushinda hata siku mojaIwapo atatumia Jeshi liwe la Polisi, JW, Miamvuli, Magereza au Mgambo ajue tu Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai(ICC) inamsubiri kwa hamu.....!!!
.