Mabango ya Magufuli mabarabarani mengi kuliko mabomba ya maji nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmefika wapii?Mcheza kwao hutunzwa.Ndivyo tunavyoweza kuelezea mapokezi ya Tundu Lissu hapo Jana alipokanyaga Ardhi aliyozaliwa.
Leo Mgombea huyo anayepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda atafanya kampeni zake katika Jimbo la Mkalama na baadaye Singida Mjini.
Tundu Lissu ameandika historia mpya ya Mgombea anayependwa na maarufu zaidi kati ya wagombea wote ingawa hajaweka bango hata moja katika nchi nzima huku mshindani wake wa Karibu akiwa ametapaza mabango kila mahali mpaka kwenye miti ya watu mashambani na vichochoroni.
Katika hali inayochekesha na kushangaza vigenge vya wanaCCM vinavyofadhiliwa na chama hicho vimekuwa vikiandaa tafiti feki za kuonyesha mgombea wao atashinda ili kuhadaa watu na labda kuhalalisha wizi wa kura.
Tunatarajia kuwaletea kila kinachojiri katika kampeni za Leo za mgombea huyu ambaye anaonekana wazi ana kibali duniani na mbinguni
---------- ------------- ---------
Yaliyotokea saa 7 Mchana
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Iguguno waliosimama barabarani kuzuia msafara wake uliokuwa njiani kuelekea Kata ya Nduguti viwanja vya gulio jimboni Mkalama Mkoa wa Singida.
Mhe. Rais amemnadi Mgombea Ubunge Jimboni hapo Oscar Alex Kapalale.
Wewe unapiga hela za nini ili nawe ushindwe?Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Biashara huru, viwanda????? , kilimo umwagiliaji.... hayo yote ni ubia na wadau wa maendeleo wa Ulaya/marekani (mabeberu kama mnavyowaita wakati ARV zako ni baba nisaidie)Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Ha haa haaaRatiba imetoka mzee anasema siku mbili tatu anapumzika
Unajua damu ya mtu ni uhai na uhai ni wa Mungu pekee waliyekusudia kumwaga damu yake hawawezi kuwa na amani hata kidogo.
Mtu anapokaribia kufa huwa kwanza mkali hamwamini mtu alafu zaidi ni mtu kisilani sasa
Angalia cdm watu wamerelax sana yaani mwendo mwisho furaha tele
Amepigaje hela za kampeni? Maana kuendeaha kameni ni gharama. Angeluwa amepiga asingeweza kuzunguka mikoani.Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Serikal hii imemaliza tatizo la ajira?Aeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Lissu akifika la kwanza ni hiliAeleze atalimalizaje tatizo la ajira kwa vijana asikimbilie hoja nyepesi nyepesi!
Kwa wizHata iweje CCM haina sababu ya kushindwa - lazima ishinde tena kwa kishindo
Kwamsaada was mbeleko auHata iweje CCM haina sababu ya kushindwa - lazima ishinde tena kwa kishindo
Vyovyote vile, kinachotafutwa ni ushindi tu bacKwamsaada was mbeleko au
Mimi nmeshachangia sana ngoja na sasa nikaongeze tena. Tutachanga mpaka kielewekeTunaendelea kumchangia hadi kieleweke. Leo ninatuma buku 5.
Kama siamini vile yaani. So trange..yaani mikoa ya kanda ya kati kuikataa ccm basi anguko limefika.Lissu kuifuta CCM mkoani Singida
H a ha ha hatukulaumu ulisoma chuo kikuu cha Dar es salaaamKwa kingereza tunasema...HE IS! Kama nimekosaea msinilaumu.
Kanda ya Ziwa nayo CCM chali heheheKama siamini vile yaani. So trange..yaani mikoa ya kanda ya kati kuikataa ccm basi anguko limefika.
Ndio hicho hicho kilichoproduce Mh rais😄😄H a ha ha hatukulaumu ulisoma chuo kikuu cha Dar es salaaam
Mbinu za kisayansi au sioVyovyote vile, kinachotafutwa ni ushindi tu bac