Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Very well mimi kwetu ni singida ila Sasa nipo mbali na nyumbani kila la kheriNipo msalaba mrefu naelekea people's kwa miguu haijalishi jua ni kali kiasi gani na hiyo buku ya bajaji namchangia President Lissu.
Mpuuze huyo!Amepigaje hela za kampeni? Maana kuendeaha kameni ni gharama. Angeluwa amepiga asingeweza kuzunguka mikoani.
Ratiba imetoka mzee anasema siku mbili tatu anapumzika
Unajua damu ya mtu ni uhai na uhai ni wa Mungu pekee waliyekusudia kumwaga damu yake hawawezi kuwa na amani hata kidogo.
Mtu anapokaribia kufa huwa kwanza mkali hamwamini mtu alafu zaidi ni mtu kisilani sasa
Angalia cdm watu wamerelax sana yaani mwendo mwisho furaha tele
Karata ya mwisho ya CCM ni ndio wanayoitegemea kuiba kura basi maana hata polepole kipindi yupo kwenye tume ya Warioba alisema ccm bila kuiba kura haina ubavu wa kuishinda Chadema.Sawa TL anaweza akashinda kwa % zaidi ya 60 ila, je watanzania wako tayari kupokonya kuulinda nakuchukua huo ushindi kwa wababe ambao waka tayari kwa lolote ilahali wasipoteze uraisi? ...... ....wako wapi ambao wako tayari kufa kwaajiri ya maabadiliko?
Mkuu kama uko tanzania hapahapa fanya usikose tar 28 ni muhimu kwako na vizazi vyako. Ccm ya mwaka 1972 imewakost wazazi wetu hadi sisi wajukuu.Very well mimi kwetu ni singida ila Sasa nipo mbali na nyumbani kila la kheri
Kwkweli magu kama sio ujinga wa watanzania na baadhi ya vigogo wanaokula kupitia yeye hakupaswa hata kufikisha miaka mitano madarakani. Hakufaa kwa lolote wala chochote.Mwaka huu Magu atatusamehe kwa kweli! Aliota kiburi mno mpaka akatuona raia sisi mapoyoyo! Ukiangalia ile clip anayowajibu watu wa Kagera kwenye tetemeko hutampenda hata kidogo! Lilipandwa ulimbukeni fulani hivi! Sasa leo imekuwaje alilie kupendwa?
Stress zinamtesa. He is guiltyRatiba imetoka mzee anasema siku mbili tatu anapumzika
Unajua damu ya mtu ni uhai na uhai ni wa Mungu pekee waliyekusudia kumwaga damu yake hawawezi kuwa na amani hata kidogo.
Mtu anapokaribia kufa huwa kwanza mkali hamwamini mtu alafu zaidi ni mtu kisilani sasa
Angalia cdm watu wamerelax sana yaani mwendo mwisho furaha tele
Molemo video clip vipi?? Usituache hivi hivi aiseeMcheza kwao hutunzwa.Ndivyo tunavyoweza kuelezea mapokezi ya Tundu Lissu hapo Jana alipokanyaga Ardhi aliyozaliwa.
Leo Mgombea huyo anayepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda atafanya kampeni zake katika Jimbo la Mkalama na baadaye Singida Mjini.
Tundu Lissu ameandika historia mpya ya Mgombea anayependwa na maarufu zaidi kati ya wagombea wote ingawa hajaweka bango hata moja katika nchi nzima huku mshindani wake wa Karibu akiwa ametapaza mabango kila mahali mpaka kwenye miti ya watu mashambani na vichochoroni.
Katika hali inayochekesha na kushangaza vigenge vya wanaCCM vinavyofadhiliwa na chama hicho vimekuwa vikiandaa tafiti feki za kuonyesha mgombea wao atashinda ili kuhadaa watu na labda kuhalalisha wizi wa kura.
Tunatarajia kuwaletea kila kinachojiri katika kampeni za Leo za mgombea huyu ambaye anaonekana wazi ana kibali duniani na mbinguni
---------- ------------- ---------
Yaliyotokea saa 7 Mchana
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema, Mhe. Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Iguguno waliosimama barabarani kuzuia msafara wake uliokuwa njiani kuelekea Kata ya Nduguti viwanja vya gulio jimboni Mkalama Mkoa wa Singida.
‘’Maandiko matakatifu yameandika haki huinua taifa, taifa letu litainuka kukiwa na haki na tukiwa huru na tunataka maendeleo yenye maana kwetu‘’ - @TunduALissu
‘’Mtoto wako akienda shuleni au hospitali atendewe haki na sio kununua haki, mama lishe atendewe haki na bodaboda atendewe haki’’ - @TunduALissu
"Nawambia wakazi wa Singida, kama unataka kuwa huru kuuza biashara zako ukiwa huru, uuze chochote unachozalisha ukiwa huru chagua Tundu Lissu’’ - @TunduALissu
Mhe. Rais amemnadi Mgombea Ubunge Jimboni hapo Oscar Alex Kapalale.
Angalia hili takatakaMsaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Unaweweseka dada angu!Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi
Na mwaka huu mapolisi waanze kufanya mazoezi mapema,maana tunajua tume ina wapiga kura Eti milioni 29.watatuulia barabarani.Karata ya mwisho ya CCM ni ndio wanayoitegemea kuiba kura basi maana hata polepole kipindi yupo kwenye tume ya Warioba alisema ccm bila kuiba kura haina ubavu wa kuishinda Chadema.
Wamezoea kusema eti keyboard warriors, wasubirie wataona tuNa mwaka huu mapolisi waanze kufanya mazoezi mapema,maana tunajua tume ina wapiga kura Eti milioni 29.watatuulia barabarani.
Labda tuseme he is the one!Kwa kingereza tunasema...HE IS! Kama nimekosaea msinilaumu.
Labda it is him, mkuu!Is him
Unayo hiyo ajiraLEO NINGEPENDA KAMA ANGENZUNGUMZIA SWALA AJIRA AISEEE
Nisaidie ndugu yangu maana hizi shule za ccm za kata ndiko ziliko nifikishaLabda tuseme he is the one!
Watu wamechoka na maCCM. Ukidhanicho ndicho sicho. Ushindi wa Tundu Lissu utakuwa kama huyu mama alivyopata umeya. Wewe endelea tu na dharau zako jiandae kukabidhi kijiti cha uongozi kwa TL.Tundu kaamua kupiga hela za kampeni huku akijua hashindi