Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
IPI hiyo?Hii kitu inaweza kuleta mgogoro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IPI hiyo?Hii kitu inaweza kuleta mgogoro.
Wakina nani nawachukia . Chadema muache ukanda Yani mnazingua sana. Ikiwezekana na nyie Muunge mkono juhudi tu mana hatuwezi pata mabadiliko kupitia siasa zenu Mbovu.Kuwachukia wanaokuzidi hakukupi nafasi ya kuwazidi
Ngoja tuone maajabu haya wengine hatuna.chama,ila nahisi.kitu Fulani,wanaume wa Dar na Chadema jitafakariniAfadhali washinde wanawake,wanaume hawakawii kujiuza/kuuza ushindi wao kwa chama chakavu
?????????Kura za maoni ni mchakato wa kidemokrasia , yeyote aweza kuteuliwa kati ya wawili wa juu , Mrema kutokana na kubanwa na majukumu ya Makao Makuu hakupata hata uchochoro wa kupiga kampeni , inashangaza hata hizo kura amepataje .
Wapi Ester Wassira ?
Mapenzi au Mahusiano yao yanahusikaje?Mgombea pekee kama JPM. Nae anagombea urais chakula cha mbunge wa kawe?
Una maana yale masanduku ya ukimwi wa polex2Chadema nao wana vyombo
Wenyewe huwa wanaita Beauty with brains sio yale makopo ya mbogamboga.
Tanzania ni kosa la jinai. Kwa hiyo wanatakiwa wakamatwe. Ila inaonekana wanajificha sana.Mapenzi au Mahusiano yao yanahusikaje?
Hili ni jimbo la tatu sasa John Mrema anagombea anaishia kupigwa chini kwenye mchujo wa ndani tu.
2010 alikuwa Musoma huko sijui jimbo gani akapigwa chini
2015 nafikiri aligombea napo akapigwa chini.
2020 kapigwa chini na mwanamama so sad.
Sasa mtu kama huyo akishinda nafasi ya ubunge ataweza kuwatumikia wananchi anawaakilisha kweli?Kura za maoni ni mchakato wa kidemokrasia , yeyote aweza kuteuliwa kati ya wawili wa juu , Mrema kutokana na kubanwa na majukumu ya Makao Makuu hakupata hata uchochoro wa kupiga kampeni , inashangaza hata hizo kura amepataje .
Pepo umetumwa? Rudi Lumumba, usije kututia najisi chama Safi ChademaSusan Lyimo ameshinda katika Kura za Maoni za kumteua mgombea wa Chadema Jimbo la Kinondoni. Amepata kura 71 kati ya 113. Sawa na asilimia 62.8. Amewashinda Moza Ally (Makamo Mwenyekiti Bavicha), Rose Moshi diwani Viti Maalum na Mbezi Mwombeki
Labda kamat kuu itamfikiriaMaster Mind ndyo akome huyo mmasai wa kupandikizwa
Sina uhakikaUna maana yale masanduku ya ukimwi wa polex2
mleteni yule mzee wenu tumpandishe sukari kwa mara nyingine tena.Akajiandae tu kugombea viti maalum na kina joyce mukya kama atawaweza.
Huo ndiyo ukweli,natamani asilimia 60 ya wagombea wa ubunge kupitia Chadema wawe wanawake.Wanaume wameonyesha udhaifu mkubwa na hawapaswi kuaminiwa au kupewa nafasi kubwa.Wamekuwa na siasa za kimalaya malaya.View attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Hatari sana hata mimi hiyo comment ya jamaa imenichekesha sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]