CCM itategemea mwenyekiti kaamkaje siku hiyoHuu uzi utawatokea puani ma analyst tunasubiri kupata data kisha tutawaambia uwezo wenu kabla ya Oktoba labda muufute au mu u discontinue...
Tafadhali wanaCCM walio na connection za kura za maoni majimboni anzisheni uzi tuwape majibu kabla ya kipimo...
Ameachana na siasa au kuna majukumu mengine makubwa yamembana ?Yupo ukonga.
Na hao ni wakristo ?Sheikh PONDA aje awakague hawa CHADEMA, yani hawajamchagua MUISLAMU hata mmoja?
Kuna kosa kulalana na mama zao?Hawa wanalaana za mama zao!
KWAHIYO ESTHER BULAYA NA ESTHER MATIKO NI WACHAGA SIO!!!!Chadema uchaga unawamaliza na ma Kvant wenu wa mitaroni
Kwakweli tena kipindi hiki naona wameibuka wanawake wenye upeo mkubwa,wenye misimamo mikali na watiifu kwa chama,sikutegemea kama wangeibuka wanawake wenye nguvu kisiasa kiasi hiki aiceeee!! Kwa hali hii ssm ilipoteza hela na nguvu yao bule kununua na kulubuni wapinzaniHuo ndiyo ukweli,natamani asilimia 60 ya wagombea wa ubunge kupitia Chadema wawe wanawake.Wanaume wameonyesha udhaifu mkubwa na hawapaswi kuaminiwa au kupewa nafasi kubwa.Wamekuwa na siasa za kimalaya malaya.
Na hao ni wakristo ?View attachment 1506274View attachment 1506275
Hiyo ni akili matope tuu kwani Paulina Gekur Bbt ni dume??Afadhali washinde wanawake,wanaume hawakawii kujiuza/kuuza ushindi wao kwa chama chakavu
Hivi wakina Mrema ni warombo tangu lini?Awahi kabla rombo hawajafanya kura za maoni akajaribu bahati yake na kule hehehe
CCM walimkata mshindi wa kwanza mpk wa tatu then wa Mwisho Ndumbalo ndio akapewa kugombea ubunge.Hata kama kashindwa ndo apitishwe sio
Yule aliyemwomba katibu mkuu mil 50 akazawadiwa 70mil+tunda tam tam sio.Hiyo ni akili matope tuu kwani Paulina Gekur Bbt ni dume??
Walewale! Lazima mwenzao apite.Kura za maoni ni mchakato wa kidemokrasia , yeyote aweza kuteuliwa kati ya wawili wa juu , Mrema kutokana na kubanwa na majukumu ya Makao Makuu hakupata hata uchochoro wa kupiga kampeni , inashangaza hata hizo kura amepataje .
Ila CCM ni noma sana aisee wameona wawaweke sehemu 1 malaya wa kisiasa (according to Nyerere)-kalist,Silinde&Nasari.Mkuu kuna mahali kuna mfumo dume kama mkoa wa Mara?
Lakini sasa hivi wamebadilika na kuwajua wanawake mashujaa, ndio maana Bulaya na Matiko walikubalika.
Ila hawa WANAUME MALAYA wanatuondolea kuaminika kabisa hata katika familia. Nasikia kuna familia wanaume wanaambiwa "umekuwa kama Shilinde au Waitara" au pia wanaambiwa "unatuletea tabia za Nassari huoni aibu?"View attachment 1506106
Huyo Martha Mwaipaja ndiyo yule mwimbaji wa injili ?
Kama hawajitokezi kuchukua form utawalaumu CHADEMA kwa kutokuwapa nafasi ?Walilalamika Serikalini ni asilimia 20 kwa Waislamu na 80 kwa Wakristo, kwa sasa Chadema ni asilimia ngapi kwa ngapi kati ya Wakristo na Waislamu?
kuna aliyekatwa? Jimbo gani?Mbona Chadema mnawakata waislamu?
shekhe Ponda alisemee hili la Chadema kuwabagua waislamu wenzetu.