Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.
Je hii ndio demokrasia ndani ya Chama kinachojiita cha demokrasia??

POVU RUKSA
Hata nami nimeshangaa kuona Magufuli amechukua fomu peke yake. Demokrasia huko CCM imewekwa kapuni?
 
Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.
Je hii ndio demokrasia ndani ya Chama kinachojiita cha demokrasia??

POVU RUKSA
Ahaaaa. Kila mtanzania ana imani na Ccm. Nani agombee kupitia Chadema wakati chama kimechafuka kimekuwa kama nuksi kwenye jamii ya Tanzania.
 
Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.
Je hii ndio demokrasia ndani ya Chama kinachojiita cha demokrasia??

POVU RUKSA
Nadhani inatokana na uchanga wa chama chenyewe lakini bado tuipongeze kwa kusimamisha wagombea nchi nzima.
Mimi nasema tusifanye bidii kuua upinzani kwani kifo cha upinzani kitatengeneza chama tawala cha hovyo kabisa hadi tutajuta.

Walakini umeuona ule waraka wa katibu kuwa wanunuliwa wasipingwe??
 
Yule aliyempigia mkwara Bashiru asichapishe form zaidi ya moja kwenye nafasi yake sio dictator?
Vipi yule aliyetaka kumuua Lisu kisa Lisu alikubalika na wananchi kuliko yeye sio dictator?.
Vipi umesahau jinsi wale wabunge waliounga juhudi hewa za utekaji walivyopita bila kupingwa ndani ya CCM?
 
Yule aliyempigia mkwara Bashiru asichapishe form zaidi ya moja kwenye nafasi yake sio dictator?
Vipi yule aliyetaka kumuua Lisu kisa Lisu alikubalika na wananchi kuliko yeye sio dictator?.
Vipi umesahau jinsi wale wabunge waliounga juhudi hewa za utekaji walivyopita bila kupingwa ndani ya CCM?
Kwa hiyo mmeiga?
 
Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.
Je hii ndio demokrasia ndani ya Chama kinachojiita cha demokrasia??

POVU RUKSA
Ata CCM magufuli hatukuona mpinzani wake.
 
Hata nami nimeshangaa kuona Magufuli amechukua fomu peke yake. Demokrasia huko CCM imewekwa kapuni?

Ccm kinaitwa chama cha mapinduzi,
Chadema kinaitwa cha demokrasia, kwa hiyo hiyo demokrasia muionyeshe kwa nguvu zote na sio kwa uongo.

Ccm wao ni mapinduzi kwa hiyo bado wanapindua, wakimaliza ndo wataendelea na mengine.
 
Nimeshangaa kuona wagombea ubunge kupitia Chadema zaidi ya watano wakiwa wamepitishwa kwa kura za "NDIO" bila uwepo wa wagombea shindani.

Je hii ndio demokrasia ndani ya chama kinachojiita cha demokrasia??

POVU RUKSA
Mbona unajihami mapema kaka
 
Back
Top Bottom