Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Duh naona comments zinafyekwa tuu... huu uzi ulifikisha comments 50 huko sasa zimebaki 17
 
  • Mshangao
Reactions: BAK
Kuna nini na huu uzi? Why posts zinafutwa kwa kasi?
 
Niliandika Mara mbili hapa JF kwamba Wenje akagombee Rorya ,sikujua kama alikuwa na nia hiyo ila naona akishinda kwa kishindo kikubwa labda aibiwe kura. Siasa ni sayansi na kwa mwaka huu hii sayansi inaibeba chadema. Ili Wenje apate upinzani mkubwa itabidi ccm nao wamtoe mgombea wao Tarafa ya NYANCHA.

Kuna sababu nyingi sana za watu wa Nyancha kumpigia Wenje kura bila kuangalia chama chake. Kwanza migogoro iliyotokana na kujengwa kwa halmashauri Ingri Juu badala ya shirati. Ukosefu mkubwa wa maji shirati na maeneo yote kando ya ziwa Victoria , Wabunge wa vipindi 4 sawa na miaka 20 wote wametokea Girango tena Utegi. Kwa Rorya Wenje atashinda labda ccm watoe mgombea wao huko ziwani.
 
Niliandika Mara mbili hapa JF kwamba Wenje akagombee Rorya ,sikujua kama alikuwa na nia hiyo ila naona akishinda kwa kishindo kikubwa labda aibiwe kura. Siasa ni sayansi na kwa mwaka huu hii sayansi inaibeba chadema. Ili Wenje apate upinzani mkubwa itabidi ccm nao wamtoe mgombea wao Tarafa ya NYANCHA.

Kuna sababu nyingi sana za watu wa Nyancha kumpigia Wenje kura bila kuangalia chama chake. Kwanza migogoro iliyotokana na kujengwa kwa halmashauri Ingri Juu badala ya shirati. Ukosefu mkubwa wa maji shirati na maeneo yote kando ya ziwa Victoria , Wabunge wa vipindi 4 sawa na miaka 20 wote wametokea Girango tena Utegi. Kwa Rorya Wenje atashinda labda ccm watoe mgombea wao huko ziwani.
Wenje anatokea kata gani
 
Wenje anatokea kata gani
Wenje sijui hasa anatokea kata gani au Kijiji gani ila majina ya akina Wenje yako sana shirati maeneo ya Michire kule ziwani kabisa mpanga huku Masonga. Kwahiyo atakuwa anatokea shirati ukanda wa ziwa kuanzia Michire kuelekea Masonga
 
Wenje sijui hasa anatokea kata gani au Kijiji gani ila majina ya akina Wenje yako sana shirati maeneo ya Michire kule ziwani kabisa mpanga huku Masonga. Kwahiyo atakuwa anatokea shirati ukanda wa ziwa kuanzia Michire kuelekea Masonga
Ok
 
Kuna jimbo bila figisu kamanda anaangukia pua ....moja haikai wala mbili .... tunaangalia kwa macho ya ziada [emoji41]
 
UKABILA UKABILA UKABILA
Hapo ni Ukabila kwelikweli mbona wanaona aibu Kutangaza za Majimbo ya Kakonko, Biharamulo, Muhambwe, Kigoma Mjini, Kigoma Kaskazini na Kusini.

Sababu: Wagombea kwa Upande wa Chadema wanaona aibu kugombea kutokana na kutoona pa Kupinga. Kwa Jimbo la Kigoma Mjini walikuwa wanamlazimisha Mtu agombee lakini naye amegoma ili kukinusuru Chama imebidi Katibu wa Chadema anaitwa Mangu kuamua Kugombea Mwenyewe ili kuficha aibu ya Chadema kisije kikaonekana hakipo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapo ni Ukabila kwelikweli mbona wanaona aibu Kutangaza za Majimbo ya Kakonko, Biharamulo, Muhambwe, Kigoma Mjini, Kigoma Kaskazini na Kusini.
Sababu: Wagombea kwa Upande wa Chadema wanaona aibu kugombea kutokana na kutoona pa Kupinga.
Kwa Jimbo la Kigoma Mjini walikuwa wanamlazimisha Mtu agombee lakini naye amegoma ili kukinusuru Chama imebidi Katibu wa Chadema anaitwa Mangu kuamua Kugombea Mwenyewe ili kuficha aibu ya Chadema kisije kikaonekana hakipo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kwa hiyo katika majimbo hayo wagombea wa CCM watapita bila kupingwa? Upinzani sio Chadema peke yake.

Amandla...
 
Back
Top Bottom