Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sina jibuDuh! , na "mti" kapigwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina jibuDuh! , na "mti" kapigwa!
Hivi n vigezo gani cdm mmevitumia kumuondoa huyu Dada Rose kugombea ubunge njombe mjini,,,huyu Dada anaushawishi mkubwa mno na anakubalika sana na wananchi wa njombe mjini,, kama angegombea njombe mjini alikuwa ananipataa mapemaa tenaa kwa kura nyingii sanaa..Mshindi , Jimbo kwenye mabano.. mabaharia msije anza sumbua.
Chadema ikichukia nchi hili ndilo vazi la taifa[emoji1]View attachment 1511532
Asante sana Chadema kwa kazi nzuri kumbr mko kimya huku mnapiga kazi nzuri kiasi hiki👏👏👏MATOKEO KURA ZA MAONI JIMBO LA NJOMBE MJINI
Wagombea :
1. EMANUEL MASONGA 78 ~67.8%
2. ROSE MAYEMBA 26 ~22.6%
3. LUCIA MLOWE 11 ~9.5%
4 . MARIETH MWALONGO 0 ~0%
Viti Maalumu :
1. SIGRADA MLIGO 28 ~ 82.3%
2. ROSE MAYEMBA 3 ~ 8.8%
3. LUCIA MLOWE 2 ~5.8
4. EINOTH LAIZER 1 ~2.9%
5. MARIETH MWALONGO 0 ~0%
Msimamizi.
Leonce Marto
2020/16/07
MATOKEO YA KURA YA MAONI - JIMBO LA ROMBO
A: Ubunge (Jimbo)
1. HUGHO S. KIMARYO = 22 = 8.9%
2. PATRICK J. ASENGA = 221 = 89.8%
JUMLA = 243
B. Ubunge (VM)
1. BEATRICE K GERALD = 39 = 52%
JUMLA = 75
MATOKEO YA KURA YA MAONI - JIMBO LA ROMBO
A: Ubunge (Jimbo)
1. HUGHO S. KIMARYO = 22 = 8.9%
2. PATRICK J. ASENGA = 221 = 89.8%
JUMLA = 243
B. Ubunge (VM)
1. BEATRICE K GERALD = 39 = 52%
JUMLA = 75
Jimbo la Mikumi
Joseph Haule.
Idadi ya waliosajiliwa 147
Waliopiga kura 137
Ndiyo 137
Hapana 0
Barnabasi Okola.
Msimaizi wa Uchaguzi
MATOKEO JIMBO LA IGUNGA
Anna Nyarobi kura 45
Vincent Kamanga Kura 29
Francis Nyamiti Kura 04
Sauti ya Igunga-Tabora
MATOKEO YA UCHAGUZI KURA ZA MAONI JIMBO LA LINDI MJINI.
Mgombea alikuwa mmoja HEMED ALI ,
Mgombea mwenza mhe. SALUM KHALFANI BARUAN alijitoa.
Kura zilizopigwa 87
Kura halali 82
Kura zilizoharibika 5
Kura za hapana 3
Kura za ndio 79 sawa na asilimia 96.3%
MATOKEO JIMBO LA KAHAMA MJINI
Thadeus Mwati 54=37%
Juma Ntahimpera 49=34%
Bukango Bukango 41=28.4%
Matokeo Jimbo La Ushetu
Mgombea Alikuwa Mmoja
Emmanuel Magema Kura za Ndiyo 86
Hapana Kura 01
Matokeo kura za maoni Nyamagana
1. John J. Pambalu 67=40.6%
2. Seleman A. Khalid 44=26.7%
3. Charles M. Chichibela 19=11.5%
4. Patrick Masagati 16=9.7%
5. Mwakihaba M. Alinane 15=9.1%
6. Jemima O. Abwao 3=1.8%
7. Jackline R. Kisanga 1=0.6%
View attachment 1509678
Hawa hawananunuliki na ccm.Halafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Akapambane na Bashite....full mitutu kwa mambo leo.Jimbo la kigamboni
Lucy magereli 53
Simon Magese 42
Akapambane na Bashite....full mitutu kwa mambo leo.
Weka uthibitisho kuwa ulichukua fomu wakakukatalia.UKABILA UKABILA UKABILA
Wasiwasi mwingi.Naona Lumumba mko busy kufuatili haya matokeo, na nina amini hata mwenyekiti wenu nae atakuwa busy kufuatilia.
Esther Bulaya ni mchaga? Nami mchaga? Unatisha sana.Cdm kila Kona kawekwa mchaga
Halafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Jimbo zima ni mmoja tu,hata idadi ya kura haikuwekwa,hakuna chadema hukoJIMBO LA NANYUMBU
Mgombea alikuwa mmoja Kura(Ndiyo na Hapana) zimepigwa!
1. Mansa Alfred Nyuchi
Kura za Ndiyo 87.9%
Kura za hapana 12.1%
Kwanza siku zote wewe ni negativity kwa Mbowe, tena sio member wa CDM, ushauri wa kumpiga chini utatusaidia nini sisi kama sio kutudidimiza??Hata Freeman mbowe anapaswa kupigwa chini tu hana lolote la maana
Wana Dar es Salam muwe makini na huyu jamaa kwasasa hana kazi yeyote.Isije mkasema sijawakumbusha wekeni vitu vyenu vizuri.Anaweza akajiajili kwenye kazi hatarishi ilimradi mkono uende kinywani.Kwanza siku zote wewe ni negativity kwa Mbowe, tena sio member wa CDM, ushauri wa kumpiga chini utatusaidia nini sisi kama sio kutudidimiza??
Kashikashi alizokutana nazo Mbowe mtu mwingine angeziweza??
Mbowe ni dume pamoja na vijembe vyenu yuko kimya!!
Kama wewe ni member yafaa umshukuru ni Capt bora kabisa wa CDM, hajaachia usukani.
Hongera Kamanda Mbowe safari ya ukombozi bado inaendelea!!
Mbogamboga a.k.a VeggiesChadema nao wana vyombo
Wenyewe huwa wanaita Beauty with brains sio yale makopo ya mbogamboga.
Jimbo la Tunduma mkoani Songwe.Mbogamboga a.k.a Veggies
Silinde amepiga hadi magoti yaani.... Ataikumbuka sana Khakii ileJimbo la Tunduma mkoani Songwe.
1. Aden Mwakyonde 250
2. David Silinde 118
3. Daines Sichalwe 20
Mkuu, Vp mchakato wa Mby City kwa Moto chini hapo ?Jimbo la Tunduma mkoani Songwe.
1. Aden Mwakyonde 250
2. David Silinde 118
3. Daines Sichalwe 20
Akison Tulia ameshindaMkuu, Vp mchakato wa Mby City kwa Moto chini hapo ?