Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
Mpaka sasa kwa hapa JF Lissu anaongoza kwa kura zaidi ya asilimia 85 dhidi ya Mbowe mwenye asilimia 13.8.
 
Ikimahanisha kazi anaweza

Kapata 10 leo

Najua wengi wenye Mihemko wafata mikumbo lazima wamebaki mataa leo
Kazi anaweza na wengi tumempa recognition ya heshima kwa kazi yake yote nzuri aliyoifanya.

Ila kwa aina ya mpinzani aliye kutana naye na aina ya siasa ambazo Lissu anazifanya hapo ndio tunapoamua kuchagua mtoa siri dhidi ya mwenye busara.
 
 

Attachments

  • VID-20250121-WA0005.mp4
    5.6 MB
Kazi anaweza na wengi tumempa recognition ya heshima kwa kazi yake yote nzuri aliyoifanya.

Ila kwa aina ya mpinzani alikuwa naye na aina ya siasa ambazo Lissu anazifanya hapo ndio tunapoamua kuchagua mtoa siri dhidi ya mwenye busara.

Haya nyie uamuzi wenu burudani kwa nchi


Akichukua cheo atanyamaza sanaaaaa, ata badilika mtamshangaaaaaa 😉
 
Mbowe muhuni sana, anatengeneza mazingira kuwa wajumbe wamemuelewa baada ya hotuba yake ya leo.
 
Naomba kuuliza, iwapo Lissu ataishind, na Wenje akashinda, itakuaje?
 
Haya nyie uamuzi wenu burudani kwa nchi


Akichukua cheo atanyamaza sanaaaaa, ata badilika mtamshangaaaaaa 😉
Huyo sio Lissu.

Nakupa mfano mmoja hapa uutafakari.

Siku ya mazishi ya Mzee Kibao Mwenyekiti alitoa wito kwa Raisi akitaka ufanyike uchunguzi wa tume ya kijaji kuchunguza mauaji ya Kibao.

Lakini siku mbili baadaye Lissu akiwa airport akitokea Genk alitoa tamko ambalo lilikuwa linapingana na kauli ya Mwenyekiti.

Lissu alisema kwa mahakama hizi ambazo zimekuwa zikitukandamiza, zisizokuwa huru zenye kupokea maagizo ya viongozi wa juu haviwezi kuwa sehemu ya uchunguzi wa matukio haya ya vifo.

Lissu alitoa maoni kuwa yaitwe mashirika ya kimataifa yaje kufanya uchunguzi akitaja na jina kabisa la hilo shirika.

Na kweli kesho yake Chama kikaitisha mkutano mpya wakatoa tamko upya wakifuta tamko la awali kuhusu tume ya kijaji na sasa kwenda na wazo la Lissu.

Hiyo inatoa tafsiri kuwa Lissu ni mtu ambaye yupo mbele zaidi kimawazo na focus yake siku zote ni kufanya siasa ngumu zaidi ambazo zinaweza kuleta mapinduzi katika mazingira haya ya ukandamizaji mkubwa wa Katiba.
 
Mkuu. Kwa umasikini wa waafrika, kumshinda tajiri ni kazi kubwa sana. Mimi nimejiandaa kisaikolojia. Hatuna chetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…