Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Pre GE2025 Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ni Mbowe au Lissu

  • Mbowe

    Votes: 179 14.7%
  • Lissu

    Votes: 1,038 85.3%

  • Total voters
    1,217
  • Poll closed .
ndo maana mama abduli alishtuka akatoa fomu moja tu! Wajumbe si wema!

Kwenye kampeni hataweza kushindana na Lissu. Hana uwezo wa kujenga hoja, hana rekodi nzuri ya kuitetea, kuhimili mikikimikiki, spana, mchakamchaka wa kampeni October 2025.

Njia pekee ni Samia kutumia polisi, usalama, vitisho, wizi wa uchaguzi kushinda.
 
Back
Top Bottom