Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Wapelestina wameshakandamizwa sana na kwamuda mrefu na sasa imeshafikia hatua ya kutokujali kitu chochote maana kama kupoteza wameshapoteza sanaMajibu yatakua ni makali sana
View: https://twitter.com/spectatorindex/status/1710526113729159192?t=avwOtpKBsUSUzBzkhQsL4w&s=19
Acha kupotosha historia wewe.Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
Duuuh! vita ya pili ya dunia si juzi tu hapa,1939-1945?Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
NA HUU NDIO UKWELI WATU WASIOUJUA.Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
Mda wa revenge ukifika tutahitaji maoni yako tena hapaHao hawatokuwa na raha na wataishi kwa wasiwasi maisha yao yote.
Hiki kichapo cha sasa hivi kinaitwa mafuriko kutokea Gaza.
Wanakumbushwa Yomkipur.
Nahisi umekunywa Chibuku au umekurupuka kuandika ,embu soma andiko lako halafu jaribu kuGugo kisha jipige kifuani mara tatu huku ukisema "mimi ni Naibu Popoma"Labda huijui Historia ya Israel na Ardhi hiyo.
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, Hakukuwepi na wadudu wanaoitwa wapalestina.
Vita ya Pili ya Dunia, ambayo Hitler na wapuuzi wa Catholics Kwa lengo la kuwaondoa Waisrael, walifanikiwa kuwaondoa Waisrael wote katika Ardhi Yao , wakakimbikia mataifa mbalimbali.
Kuondoka kwao pale kwenye Ardhi Yao, kukatoa nafasi ya Jesuits wa Rumi, kupeleka wahamiaji kwenye Ardhi hiyo...wahamiaji hao ndo Leo wanaitwa wapalestina.
Baada ya Vita ya Pili, Waisrael wakajikisanya ili waanze kurudi kwenye Mother land Yao.
Ndipo walipokuta Kuna wahamiaji , na Vita ikaanzia hapo.
Mpaka Leo !!!!
Mnamezeshana historia za uongo.NA HUU NDIO UKWELI WATU WASIOUJUA.
Hamas na Israel wamesha pigana vita mara 5 na vita yote haijawahi kupatikana mshindiNaowaonea huruma ni raia wa kipalestina jinsi wanavyoenda kuuawa kwa makombora ya Israeli! Hamas wanajua kuanzisha vita lakini wanaishia kushindwa vita hali inayowaacha Wapalestina wengi wakiwa katika mateso makubwa!
Wapalestina wakubali hali tu.