Duh hawa jamaa watakuja waishi kwa amani kweli kama mataifa mawili jirani?
Kuna kitu cha mwisho nakiongezea.Hii imetokea mwaka huu operation ya IDF Jenin imeleta uharibifu mkubwa katika makazi ,miundombinu pamoja na mauaji na haikuwa na Globalization condemnation against Israeli.View attachment 2774237
Wakati hao wakikaa mezani Israel toka mwezi wa 8 amekua akipanua maeneo Jenin na kuharibu Mali za raia wa kipalestina,je huo sio ugaidi??Zile ramli tulizokuwa tunapiga humu wataalamu wengine nao wanasema hivyohivyo
View: https://twitter.com/amjadt25/status/1710570651256230074?t=i4B2BaPcxv-LRbG1IdDt9g&s=19
unaushaidi gani au kwakuwa umesoma vitabu vyao walivyo tumia kuiaminisha dunia kwamba wao ni wataule wa mungu ,wakati israel yamejaa mashoga kibaoWaache wapambane tu, hakuna mafanikio yasio lipwa kwa damu hata hao wayahudi kufika hapo wamepitia kwenye madhira makubwa kwa zaidi ya mamia ya miaka lakini hilo hali kuwafanya wakate tamaa kupambana
Vita yao haijaanza leo. Wameuawana sanaMajibu ya Israel huwa ni ya kikatili mark my words huu ndo mwisho wa hamas na mwanzo wa maisha mabaya sana kwa wapalestina
Ngoja waingie kichwachwa bila kujua adui amejipanga vipi ndio watajua hawajuiDawa inakaribia kuiva,Maturubai yaongezeke pale GazaView attachment 2774185
Iran atawatetea Palestina japo indirectly.Ngoja tuone kama Irani na Saudi watawatetea Wapalestina....
Vyovyote ilivyo ule ni mfumo umewekwa na binadamu labda tuseme settings zake zimesetiwa kuzuia rockets 100 per minute then zikaja 300 kwa dk unadhani nini kitatokea?Aya ngoja tuone kaka maana nipo aljazeera hapa natizama na baadhi ya waandishi wa habari wanasema maroketi yanayopenya ni mengi kuliko yanayozuiliwa.
nyerere aliwatuliza hawa wakae kimya atakapoamua kumchapa iddi amini huko huko kwake uganda. Netanyahu ndio kabisa hatawasililiza hawa, atataka kuwanyoosha hao magaidiMuda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.
Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi
Muda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.
Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi
Hamas atakuwa na msukumo wa Iran lkn anatesa raia wa Palestina bureNetanyahu: 'We are at war and we will win'
Israeli Prime Minister Netanyahu has just released a statement, saying that "we are at war and we will win".
In a statement released on his social media channels, he said Hamas would "pay a price the type of which it has never known".
The Israeli Defence Forces (IDF) are fighting Hamas in a number of locations, with an unknown number of casualties.
===========================
Mwishowe Israel itajibu kwa nguvu kubwa na atadhibiti maeneo mengi zaidi ya Wapalestina, hata Gaza huenda ikarudi kwenye udhibiti wa Israel........ardhi kubwa zaid ya Wapalestina itakaliwa na Israel kimabavu.
Raia wa kawaida wa Wapalestina wataishia kuwa wahanga wa huu uhuni uliofanywa na Hamas.
Israel-Gaza latest: Hamas fighters on the ground after '5,000 rockets' fired; 'We are at war', says Netanyahu
Hadi kesho tutasikia vilioWatu wa haki za binadamu wasiaze kulialia ,majibu yatakua mazito sana
Mpaka sasa Hamas na Israel wamesha pigana vita zaidi ya mara tano hivyo hakuna jipya wamesha zoeaNawaonea huruma raia wa Gaza maana kinachofuata.....
Israel hii issue kashtukizwa vibaya sana!Ngoja na wao waonje kidogo utamu wa vita. Nimeona wazungu wanakimbilia Airport hahahaha kila mtu muoga wa kifo fa mchezo nini
Israel huwa inaanzwa na wave moja au mbili za ushindi wa adui. Ndio zikiisha hizo lawama zinafuata na kuomba mazungumzo=========================
Israel caught off-guard in intelligence failure
Frank Gardner
Security correspondent
This is a colossal intelligence failure for Israel.
The country has one of the most extensive and sophisticated intelligence networks in the Middle East, both domestic and external.
- It has informants embedded inside militant groups not just in the Palestinian territories but in Lebanon, Syria and elsewhere.
It has, in the past, been able to assassinate militant leaders either with precision drone strikes or even booby-trapped mobile phones.
And yet today, at the end of a Jewish holiday, it appears to have been caught asleep at the wheel.
Hamas has been able to plan and launch this carefully coordinated assault on Israel seemingly in total secrecy.
That Israel will retaliate with massive force is a given. But Israelis will now be asking why their nation’s spies failed to see this coming and warn the country accordingly.
Article share tools
- View more share options
Share this post
- Copy this link
- Read more about these links.
- Posted at 11:2511:25
Fighting continues on Israel - Gaza border crossing
Concluding their remarks, the Israeli military spokesman says that fighting is still ongoing at the Erez border crossing as well as at the Zikim base - a training base belonging to the Israel Defense Forces.
Article share tools
- View more share options
Share this post
- Copy this link
- Read more about these links.
- Posted at 11:1811:18
'No comment' on reports of Israelis taken captive
Israel's military spokesman is declining to comment about reports of Israelis being captured by Hamas, according to the Reuters news agency.
Article share tools
- View more share options
Share this post
- Copy this link
- Read more about these links.
Intelligence failure kama ile ya mwaka 1974 kwenye Yomm Kippur..