Uchaguzi 2020 Yanayotokea Tanzania Leo yalitokea Indonesia 1998

Mkuu bado una safari ndefu kuhusu mambo ya branding.
Unafikiri Coke au Pepsi 'hazifahamiki'?
Kwanini zinaendelea kufanya matangazo aggressively, progressively and persistently kila uchao?

Kila unapofanya tangazo hautangazi ilimradi umetangaza tu, hurudii tangazo hilihilo miaka mitano.Kuna watu wanakaa chini wapendekeza mabadiliko angalau kidogo tu hata ya kijinga kama muonekano flani au kifungashio, au ujazo n.k.
Vivyo hivyo kwenye chama unabadili vitu falani vidogo tu katika utendaji , nk, kisha unavishikia bango kwenye matangazo. Siwezi kueleza zaidi hapa sababu hiyo ni kazi na watu wanaliowa kwa hiyo kazi. Sitoi 'elimu bure' kama serikali. ..πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

NOTE: Zingatia kipande cha promo kwenye maandishi niliyokoleza rangi, unielewe zaidi kuhusu mfano wa tangazo lenye maboresho madongo in actual sense lakini unayashikia bango kwenye PR.
 
Endelea kujifariji wakati kuna wakulima, Askari, watumishi wa umma, vijana kila mmoja amekata tamaa ya maisha katika serikali hii.
Daaaah mbona leo mnakuwa wakweli kupitiliza na wenye akili sana
 
We shall overcome
 
Nchi ina miaka zaidi ya 50 haina maendeleo kabsa licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, kama siyo CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni makao makuu ya UN ingekuwa ni level ya Marekani, German, Japan, china, UK, Oman, India , Rusia na mataifa yote Tajiri yaliyosalia Duniani ikiwemo canada, korea kusini nk, Mda huu Rais wa Tanzania angekuwa ndiyo Rais wa ulimwengu akikohia Dunia nzima inatetemeka, CCM imefuja pesa nyingi kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa, Mfano sasa Pesa nyingi inapotelea kwenye kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi ndogo kwa gharama kubwa kuwalipa watengeneza propaganda mabilioni , cyprian Musiba ametajirika kwa mgongo wa kuihujumu kuudhofisha kudidimiza demokrasia, na endapo CCM wangezitumia hizo pesa kujenga viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa, barabara vijijini kote, daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba, wangevuna kura pasipo kutumia nguvu kulazimisha CCM kupendwa, wananchi wanataka maendeleo kulingana na pesa zilizopo siyo kutumia pesa zao kukandamiza demokrasia.
 
Kiongozi hawezi kubadilisha uchumi wanchi kama wananchi hawajabadilika, katika mambo kadhaa, kama kufanya kazi kwa bidii, kubadili mtizamo kwa kuacha kutegemea kuajiriwa kisha kujiajiri, na kuachana na kulalamika kijiweni kwa kisigizio hakuna kazi.

Hata aje malaika kutuongoza watanzania bado tungemuona hafai kama hatujabadilika wenyewe.
 
Hivi kweli hamjuai tangu2o15 nyuma ya pazia hakuna anayeruhusiwa nchi hii kufanya siasa isipokuwa Magu peke yake?
 
Nikweli but just think Lisu Kuwa Rais? Or Member? Nadhan nibora tuongozwe na Jiwe Tu. Tunasafari ndefu Sana bado vyama vya upinzani Kuwa vyenye uwezo kutuongoza. Tutakuwa tumepoteza
Why not Lissu or Membe?
 
Kwani huyu aliyepo ndio mtu sahihi kwa maana ya mtu sahihi wa kusimamia hizo sheria? Ukishaona kiongozi ana double standard kwenye usimamizi wa sheria jua bado uko mbali na mtu sahihi.
Kubadili maadili ya watu siyo kitu rahisi, unazungumzia kuhusu kubadili tabia kitu ambacho kinakuwa hard-coded kwenye ubongo wa watu tangu wangali vijana wadogo au watoto.

Mabadiliko makubwa kama hayo yanaleta vita kubwa sana na ukaidi ambao lazima ushughulikiwe accordingly. Na hauwezi kushughulika na mambo yote na watu wote kwa wakati mmoja.
Kuna wakati mengine au wengine unawaacha ili uwatumie au uvitumie kwa muda wakati sahihi ukifika navyo unaachana navyo tu.
It's a gradual process kufanya mabadiliko ya mifumo.
 
Maana ya kurekebisha mfumo ni pamoja na kuboresha ushindani. Utakapomuona jirani yako amejenga nyumba kwa kuuza karanga, na soko la karanga lipo na wewe utalima karanga.
 
Naked truthπŸ’•πŸ’•πŸ’•
 
Kilichofanyika na JPM ni kikubwa, hata waungane tena wawaite na majirani wawasaidie hawashindi.
 
Umejiuliza kwanini Lissu mlimpokea hata baada ya katazo la jeshi la polisi na hakuzuiliwa wala kusumbuliwa?
Umejiuliza kwani sasa anaongea mengi ambayo awali alikuwa anaongea anasumbuliwa na vyombo vya kusimamia sheria?

Sasa nakuambia hata kungekuwa na vyombo vya habari vya chama siyo vya mwanachama (e.g. Mbowe) wangeona aibu kuvifungia wakati huu.
 

Mfano wako ni irrelevant, hao Pepsi wanafanya matangazo kwakuwa wako kwenye ushindani wa soko huria, ambapo mteja ananunua bidhaa kwa ridhaa yake. Umewahi kuwaona Pepsi wamezuia Cocacola kuuzwa mahali kisa wao pepsi walitangulia kufungua tawi eneo hilo? Huu mfano wako inaonyesha kabisa umeishiwa na hoja, ndio maana unatoa mifano isiyoendana na hali ya kisiasa tunayoijadili hapa.
 
Kama wakoloni waliweza kubadili mind set zetu na kukubali ku slimu na kubatizwa na kuacha kutambikia mizimu. Tulianza kwenda hospitali tukiugua badala ya kuchemsha mizizi.

Tena siku hizi kuna mass media kuelimisha wananchi inawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…