Jamaa yuko vizuriHuyu Ngushi sijui kwanini Nabi hamuamini kwenye first eleven
Tatizo atamficha mayele, huyo ni husler sio mnyatiaji kama jamaaHuyu George Mpole ikiwezekana msimu ujao, wananchi tumpe tu mkataba. Naamini atatusaidia na Mayele pale mbele.
Ni aina ya washambuliaji ambao hawana utani hata kidogo mbele ya lango la mpinzani! Huyu ni tofauti kabisa na yule striker wa Polisi fc Vitalis Mayanga, anayeshikwa na kigugumizi cha miguu awapo kwenye nafasi ya kufunga.
Kwamba mmefunga?Hii inaitwa utatoa hutoi?
Ni mkongo?Huyu Ngushi sijui kwanini Nabi hamuamini kwenye first eleven
Hahaha mambo ya kimataifa yametoka wapi jaman kwenye huu uzi. Match ni yanga Vs Geita leoNa Mngeyapatia wapi maneno na hamshiriki mashindano ya kimataifa?
Naona saii kaamua kumsemea kwa refa kuwa mara ya pili hiiMayele kamuumiza Yondani ajiandae
Pale juu nimetabiri kuna mtu anapigwa kadi hamtaaminiNaona saii kaamua kumsemea kwa refa kuwa mara ya pili hii
Leo hii wanaojiita wakimataifa hawataki kuongelea mechi za kimataifaHahaha mambo ya kimataifa yametoka wapi jaman kwenye huu uzi. Match ni yanga Vs Geita leo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Alimwe kadi huo mpira sio usiku wa vitasaMayele kamuumiza Yondani ajiandae
Battle nzuri sana, kuna mtu hapo aongeze umakini Yondan muhuniNaona saii kaamua kumsemea kwa refa kuwa mara ya pili hii
HahahaAlimwe kadi huo mpira sio usiku wa vitasa
Sisi kolo na miiko nyuma wapi na wapi?Ukiupenda chomoa ujichomeke
Kwann mkuu?🤣🤣Yanga wameruhusiwa mashabika 100 tu?