Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wewe kolokwinyo utateseka sana,tunawasubiri kwenye nusu fainali then nbc kuna gape la pointi 10Chanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kolokwinyo utateseka sana,tunawasubiri kwenye nusu fainali then nbc kuna gape la pointi 10Chanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Get well soonHuu ni umaza faka na ni aibu kwa kilichotokea kuita soccer
Hahahaha kweli mkuu maana inafahamika tu mbwa yoyote anapigwaChanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Ni wapuuzi sanaYaani mashabiki wa Simba mna mambo sana. Wakikosa penati Yanga mnashangilia, wakikosa Geita wajinga. Yanga msimu huu wako vyema kila idara. Mtakuja kufa kwenye ushabiki maandazi huo!
Douh....!!!Chanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Hapa wanasema wanamtaka Yanga nusu fainali.Hao makolo tumesha wapiga ufunguzi wa ligi
Hao makolo wameshangilia droo awamu ha kwanza
Hao makolo tarehe 30 anapiga nyingi mnoooo
Tarehe 30 siku ndo itaisha kwA mauza uza dadeq Hawa ndo yangaKwa haya matokeo siku imeisha vibaya
Kivipi? Tumeona muchuano ya UEFA, na AFCON ambako kuna VAR wakienda kurudia tukio kwenye VAR na kuona kuwa mchezaji kashika basi waaamulu penati haijalishi mpira umefuata mkono au mkono umefuata mpira.Refa ameplay role kubwa sana, naamini mzigo wake wa GSM ni mnono
Walinaujua mziki wa yanga Hadi leo wanashangilia drawHapa wanasema wanamtaka Yanga nusu fainali.
Wakati hapo nyuma tu walikuwa wanaomba Geita ashinde ili apite wapate kitonga.
Alafu wawe wanaonyesha ule ujinga mlocheza na Polisi?Chanel ya Azam kwenye mechi za yanga wawe wanarusha katuni tu
Unaongea ujinga na kusahau mechi ile mlinunua pia (tulikuwa tumetoka wapiga 1-0 ligi kuu)Hawa walinunua mwamuzi robo fainali na Kagera sugar kisha tukawapiga nne kwenye nusu fainali miaka mitatu iliyopita. Wamejileta tena utopolo.
Hedex inasaidia kutibu maumivu.Mpira huu yanga ata kuwa Giant humu humu ila nje watamtwanga mno
Hahahaha ulitaka refa afanyaje kwamba ile si penati ama ulitaka wakate bao tamu la kumuamisha Kipa la soloya bembaMpira una hanithiwa kizembe na marefa wenye njaa
Tofautisha future na past.Hao makolo tumesha wapiga ufunguzi wa ligi
Hao makolo wameshangilia droo awamu ya kwanza Hadi leo hawaamini kama walipata draw
Hao makolo tarehe 30 anapiga nyingi mnoooo
Sawa leo mchezaji wenu aliyeingia na filimbi kawaokoaHahahaha ulitaka refa afanyaje kwamba ile si penati ama ulitaka wakate bao tamu la kumuamisha Kipa la soloya bemba