Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Kweli "mtoto akililia wembe wacha apewe ili akome" aka "mwana kulitafuta Mwana kulipata"Dahh tunaweza kukukosa Mkuu 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mods hawachelewi 😂😂😂😂😂😂😂😂…..halafu huyu mods atakua simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi nilikua nachangia tu alieomba kashapewa ban yake,
I love youuuuu to. [emoji41][emoji41]I love youuuuuuuuuuuuuuuu [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Maana anajiamini huku ana ID nyingine.Weka IDs zako zote...
Nilikwambia weka mke😂😂Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
kumbe,Moderator wetu watu wa haki sana kwa kweli 😀Mimi nilikua nachangia tu alieomba kashapewa ban yake,
Du tayari [emoji23]Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]