Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
KULA CHUMA HIKO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni haki yake ya kikatibaWamepiga kweli.
🤸🤸🤸🤸🤸🤸😘😘😘😘💕I love youuuuu to. [emoji41][emoji41]
Ebana mi simba ila ban iondolewe, arudishwee bring back Half americanNitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi 💚💛
Kwanini, uliona nini?Mimi ni shabiki wa yanga ila hii mechi ya leo simba anashinda
Hawako serious kwa lolote, jitu lina fake IDs 10 zote hata akipigwa ban kwa miaka buku inasaidia nini? [emoji28]Hivi mods wapo sirious hivyo kumbe
Siku nyingine uwe na adabu Kwa SimbaNitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]
kwahiyo umenitosa ?🤸🤸🤸🤸🤸🤸😘😘😘😘💕
Sijajiwahi ila nilishahisi kuanzia maandalizi ya hii derby kulikuwa na maandalizi tofauti sana na nikaja kuvunjika moyo nilipoona kikosi cha yanga eti salumu Abubakar amweke benchi azizi k......pia angalia mtu ambaye yuko kwenye form kwasasa namaanisha Ibrahim baka anaanzaje bench?Bora wewe umejiwahi
Moderator Maxence Melo InvisibleYaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma