This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Mimi Ni Simba, lkn kocha hakua mjinga Huwezi kumwanzisha baka na Aziz ki. Nafuu kidogo na Ki lkn baka KWA mechi ya dabi no!Sijajiwahi ila nilishahisi kuanzia maandalizi ya hii derby kulikuwa na maandalizi tofauti sana na nikaja kuvunjika moyo nilipoona kikosi cha yanga eti salumu Abubakar amweke benchi azizi k......pia angalia mtu ambaye yuko kwenye form kwasasa namaanisha Ibrahim baka anaanzaje bench?
JUPIGE BAN mwenyewe tuko BUSY NA USHINDINitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]
Ulikimbia mwenyewe mkuukwahiyo umenitosa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma
Na umepewa sasa😋🤗Yaan umeniwahi.Mimi nimeomba kupigwa BAN mwaka mzma
Atajisajili Kwa jina lingineMmh kweli Moderator hataniwi naona Half american kala umeme nadhani ni BANNED kwa miezi 6 kama alivyojitakia pole yako.
Ah wapi,tuliaaa kwanzaUlikimbia mwenyewe mkuu
Swali..Keshapigwa ban!?
Haki yake ya kikatibaAmepata alichostahili
Aliona mbaliNilikwambia weka mke😂😂
Mali zipo lakini?au unamrithisha jiko la gesi?Huyu atuombe radhi, kisha alipe fidia...
Hongera mkuuPaw kula kichwa hiki haraka sana
AahajajaaaaOmbi limefanyiwa kazi 😎
Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
View attachment 2589942
kila la heri wananchi [emoji172][emoji169]