Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado hujapigwa ban basi jipige ban mwenyewe 😂Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭WATANI HONGERENI SANA
Hakuna haja ya msamaha acha nipate stahiki yangu na iwe mfano kwa waeka ahadi
Unacheka si una furahi 😊😊😊[emoji1787] hata sijui nacheka nini
Goooooo[emoji23][emoji1787][emoji1787] ni wewe unanifukuza hivyo
[emoji38][emoji38][emoji38] hao ndo utopolo ombaombaHivi ni kweli Half american ulidhamiria? Pole sana mkuu.
Sio mbaya ila ana kazi ngumu ya kuikuza id yake mpya.Atajisajili Kwa jina lingine
Acha iwe hivyo tu, Moderator waendelee kutupunguzia takataka humu jf wanaoshindwa kuidhibiti mihemko yao ya kiushabiki.Safiiii,ban hadi msimu ujao wa ligi dadeq
Sawa mkuu.
Tutazingatia
Tumemsamehe, ilikuwa midadi ya soka tuAcha iwe hivyo tu, Moderator waendelee kutupunguzia takataka humu jf wanaoshindwa kuidhibiti mihemko yao ya kiushabiki.
Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi.
JamiiForums Moderator
Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa.
Maumivu ya timu yake kufungwa yanatoshaTumemsamehe, ilikuwa midadi ya soka tu
Hizi nyodo hizi zimewatokea puani leoSijaona kikosi cha kuizuia yanga isishinde leo
Max kawasameheSafiiii,ban hadi msimu ujao wa ligi dadeq