reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Maumivu ya timu yake kufungwa yanatosha
Bora asamehewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Maumivu ya timu yake kufungwa yanatosha
Bora asamehewe
Akapumzike..Mwanangu Half american heri ya kuonana
Kashatolewa ICUAkapumzike..
🤣🤣Kashatolewa ICU
Yupo anachungulia uzi wake km yupo chooni
🤣View attachment 2590295
Safi sana Mods, siku nyingine wasikurupuke
Ubarikiwe, kuna wakati namm nikaanza kuumia kwelikweli kutomuona Mwanangu Huyu !!.Tumemsamehe, ilikuwa midadi ya soka tu
😀😀😀😀😀kama we ni yanga sikutakiiii
🤒Ah wapi,tuliaaa kwanza
Mods fanyeni kweliNa Mimi Yanga akatoa Draw naomba nipigwe ban mwaka mzima na km akifungwa naomba nipigwe ban miaka 3 mfululizo bila kupumzika
Mboni wameshasema huko juu kua Mimi ni mchangiaji tu sio nilietuma ombi alietuma ombi kashakula ban namaanisha mwenye uzi, Mimi nilikua nachangia tu sijaombaMods fanyeni kweli
Umeachiwa au sio? Au Maxence Melo hakumaanisha ilibidi ule ban ya miezi 6Ndio nini sasa hiki 🤔
Yeye tu mkuu nilishajiandaa kwa loloteUmeachiwa au sio? Au Maxence Melo hakumaanisha ilibidi ule ban ya miezi 6
🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤸🤸🤸🤸Ndio nini sasa hiki 🤔
Nakuja na tamko 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤸🤸🤸🤸
Tulia bhana.. please 😉Nakuja na tamko 😂
Ngoja nimalize k vant hapa