Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Kwa hiyo hao real Bamako wasitegemee kupata point tena?

Hata ya utopolo ee?
 
Game nne zilizobaki, Simba Sc atapoteza game moja tu...
Vipers 1 : 3 Simba
Simba 4 : 1 vipers
Simba 3 : 0 Horoya
Raja 4 : 2 Simba
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
wenye timu zao wanasemaje, ?
 
Yanga ikikomaa inaweza kuongoza kundi, au hata kushika nafasi ya pili. Wakilewa sifa, watashika nafasi ya 3!

Kwa upande wa simba, uko sahihi. Wakijitahidi sana, basi ni nafasi ya 3! Ila uhakika ni kubakia mkiani. Na huu ni ukweli mchungu.

Morali ya timu ya simba iko chini sana katika mechi mbili za kimataifa walizocheza, ukilinganisha na wapinzani wao.

Niamini, Yanga hatopita. You will he surprised . Tunza hii comment
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
Kuna asilimia kubwa za ukweli.
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
Utopolo 🚮
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)
Mkeka wako umechanika mapema tu, hakuna haja ya kufuatilia matokeo mengine
 
Ila kwenye mpira mambo yanabadilika muda wowote,yule anaetabiriwa awezi kuvuka ndo akasonga mbele alafu anaepewa nafasi ya kuvuka akabaki uwani.
 
Back
Top Bottom