Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Yanga atapita hatua ya makundi, Simba atashika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake

Mpira hamjui kazi kubashiri bashiri tu,mpira haunaga kutabiri hzo kazi ni za waganga
 
Utopolo bwana kumbe uzamwamwa wao niwakurithi😆😆
🐸🐸 Tangu zamani
20230308_135743.jpg
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)

Ss hv nazani una ona jinsi gani ulivyo punguani na usikute ktk familia unaonekana mtu wa maana kumbe ovyoo kabisaa [emoji23]
 
Yanga ikikomaa inaweza kuongoza kundi, au hata kushika nafasi ya pili. Wakilewa sifa, watashika nafasi ya 3!

Kwa upande wa simba, uko sahihi. Wakijitahidi sana, basi ni nafasi ya 3! Ila uhakika ni kubakia mkiani. Na huu ni ukweli mchungu.

Morali ya timu ya simba iko chini sana katika mechi mbili za kimataifa walizocheza, ukilinganisha na wapinzani wao.
Vipi mchawi Simba bado iko mkiani
 
Vipi mchawi Simba bado iko mkiani
Morali ya timu walau imeongezeka. Ingawa bado baadhi yenu mnalalamika timu haichezi vizuri. Udhaifu wa Vipers pia umewasaidia kuwepo hapo mlipo.

Hivyo siyo mbaya mkiendelea kufurahi, baada ya matumaini ya kuendelea hatua inayofuata kurejea.
 
Morali ya timu walau imeongezeka. Ingawa bado baadhi yenu mnalalamika timu haichezi vizuri. Udhaifu wa Vipers pia umewasaidia kuwepo hapo mlipo.

Hivyo siyo mbaya mkiendelea kufurahi, baada ya matumaini ya kuendelea hatua inayofuata kurejea.
Kwahyo unataka kusema vipers iliyoifunga Yanga sio hii 😆😆
 
Kwani kila utabiri lazima utokee kama ulivyo tabiriwa? Kama ni hivyo basi Yanga ingekuwa imeshatolewa na Club Africains kule Tunisia.
Na ndio msingi wa swali langu huo! Hamyajui hayo hadi muanze kutabiri?
 
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)

Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
[emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha kwa monastri..yaani wewe mbumbumbu wa soka
 
Back
Top Bottom