Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa uwezo wa yanga ni mkubwa ukilinganisha na wa simba
WamejisahauUwezo mkubwa na mko kombe wa loosers,?ebu kuwa serious kdg nanii!
kubeti ni ajira kwake...Mpira hamjui kazi kubashiri bashiri tu,mpira haunaga kutabiri hzo kazi ni za waganga
Huyu ni nabii wa Baali, wa kuchinja tu.Tunaendelea kusaka manabii popote walipo, hakuna kujificha
Day 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)
Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)
Vipi mchawi Simba bado iko mkianiYanga ikikomaa inaweza kuongoza kundi, au hata kushika nafasi ya pili. Wakilewa sifa, watashika nafasi ya 3!
Kwa upande wa simba, uko sahihi. Wakijitahidi sana, basi ni nafasi ya 3! Ila uhakika ni kubakia mkiani. Na huu ni ukweli mchungu.
Morali ya timu ya simba iko chini sana katika mechi mbili za kimataifa walizocheza, ukilinganisha na wapinzani wao.
Morali ya timu walau imeongezeka. Ingawa bado baadhi yenu mnalalamika timu haichezi vizuri. Udhaifu wa Vipers pia umewasaidia kuwepo hapo mlipo.Vipi mchawi Simba bado iko mkiani
Kwahyo unataka kusema vipers iliyoifunga Yanga sio hii 😆😆Morali ya timu walau imeongezeka. Ingawa bado baadhi yenu mnalalamika timu haichezi vizuri. Udhaifu wa Vipers pia umewasaidia kuwepo hapo mlipo.
Hivyo siyo mbaya mkiendelea kufurahi, baada ya matumaini ya kuendelea hatua inayofuata kurejea.
Tangu aondoke kocha wao Robertinho na baadhi ya wachezaji wao wachache muhimu, timu haijatulia kabisa.Kwahyo unataka kusema vipers iliyoifunga Yanga sio hii 😆😆
Kwani hamkuyajua hayo wakati mnafanya utabiri?Tangu aondoke kocha wao Robertinho na baadhi ya wachezaji wao wachache muhimu, timu haijatulia kabisa.
Hahaha.Kwani hamkuyajua hayo wakati mnafanya utabiri?
Kwani kila utabiri lazima utokee kama ulivyo tabiriwa? Kama ni hivyo basi Yanga ingekuwa imeshatolewa na Club Africains kule Tunisia.Kwani hamkuyajua hayo wakati mnafanya utabiri?
Na ndio msingi wa swali langu huo! Hamyajui hayo hadi muanze kutabiri?Kwani kila utabiri lazima utokee kama ulivyo tabiriwa? Kama ni hivyo basi Yanga ingekuwa imeshatolewa na Club Africains kule Tunisia.
[emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha kwa monastri..yaani wewe mbumbumbu wa sokaDay 3. Vipers anamkaribisha simba na raja anamkaribisha horoya ambapo wenyeji wote watashinda. Day 4: Simba anamkaribisha vipers game itaisha sare, horoya anamkaribisha raja na mgeni atashinda. Day 5: simba anamfata raja mwenyeji atashinda na vipers anamfata horoya game itaisha sare. Day 6: simba anamkaribisha horoya na vipers anamkaribisha casablanca game zote zitaisha sare.
1. Raja (16)
2. Vipers(7)
3. Horoya(6)
4. Simba(2)
Day 3: Yanga anamfata real bamako, tp mazembe anamkaribisha monastir ambapo mazembe na yanga watashinda. Day 4: monastir anamkaribisha mazembe na yanga anamkaribisha real bamako ambapo yanga na monastir watashinda, day 5: yanga anamfata mazembe mechi itaisha kwa sare na monastir anamkaribisha real bamako ambapo monastir atashinda, yanga anamkaribisha monastir na tp mazembe anamfata real bamako ambapo yanga na mazembe watashinda
1. Yanga(13)
2. Mazembe(10)
3.Monastir(10)
4. Real bamako(1)