Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Siku hiyo olewako ukimbie jukwaa
Nitakuwa hapa, na mapenzi ya dhati kupitia ww Vincenzo Jr tukiacha upinzani, nakukubali sana kama mdau wa soka, tukiacha upinzani wa mpira Bado sisi ni ndugu haijalishi unatokwa mkoa Gani ( kambarage Nyerere alimaliza Kila kitu )......mpira sio ugomvi ni daraja la kujifunza kama hakuna chuki ( nothing personal )....na Mimi Metronidazole 400mg nimeliona hilo kwako mkuu, endelea hivyo hivyo, tubishane kwa burudani na kufanya maisha yaende mbele........NIMEMALIZA!!!!......Sasa nilitaka kutoa ya moyoni kwako mwanangu, Bado ya moyoni imebaki kwa my dearest Kalpana siku iishe......nahisi ataisoma hii appreciation post Yako.....na pia yake pia utaisoma mwanangu.....nawakubali sana though hatujuani Vincenzo Jr Kalpana
 
Shukrani sana ndugu yangu
 
Waaooh waoooh msg nzuri sana jioooni ya leoo...asante sana mkuu.... Metronidazole 400mg kiboko ya bacteria broad spectrum...nashukuru sana kwa hilo..halafu kuhusu Vincenzo Jr yani hana baya mtani wetu...
 
Hapa mkuu umeua
 
UMESHADAIIII TKT YAKOOO ULIYOKATAAA

WENZIOO CAF WASHAFANYA YAOOO HUKOOO HAHAHAA NOMAA SANAAA

WAMESUBIRI MTINGE ROBO WAMALIZANE NA NYIE
 
Ni kweli yanga alifanya comeback ya kibabe ya kushinda 4 kwa Mkapa msimu uliopita . Ila kusema aliingia fainali ni uongo
 
Bet hapa: (a) Kama wewe ni mwanamme na una mke, Yanga akishinda, umwache mke wako akaolewe kwa mwezi mmoja na shabiki yeyote wa kiume wa ya Yanga. (b) Kama wewe ni mwanaume na huna mke, basi Yanga ikishinda, wewe uolewe na shabiki yeoyte wa kiume wa Yanga atakayekuwa tayari kufanya hivyo kwa miezi mitatu, (c) kama wewe ni mwanamke, basi Yanga ikishinda uwekwe gest ili kila shabiki wa Yanga apitir kwa miezi mitatu wakati wowote.
 
Waaooh waoooh msg nzuri sana jioooni ya leoo...asante sana mkuu.... Metronidazole 400mg kiboko ya bacteria broad spectrum...nashukuru sana kwa hilo..halafu kuhusu Vincenzo Jr yani hana baya mtani wetu...
Dearest Kalpana, binafsi navutiwa na comments zako na maoni Yako kuhusu mada mbalimbali kwenye jukwaa hili la wapenda michezo hapa JF, kinachonikosha zaidi unaujua mpira na unabishana kwa hoja ni aghalabu sana kuona jinsia ya kike kuona inafuatilia mpira kwa ukaribu sana, sisemi haiwezekani, Bali kwangu naona ni mara chache sana

Naweza kuenda extra miles na kuona kama inawezekana kuwa una kipaji Fulani ila Sasa sijajua ni kwenye angle Gani ktk soka ( but there's something inside you kwenye huu ulimwengu wa soka )

Inawezekana uchambuzi, ukocha, uongozi, scouting, usemaji nk nk ......nakuona kwenye maeneo hayo ndani ya ulimwengu wa mpira

Nina mengii sana ya kukupongeza but inatosha, keep expressing what's inside you and I Metronidazole 400mg believes there's is yes and more opportunities outside there just awaits for you and it's just time and patience matters.

NB: ila ni mawazo yangu based on jukwaa hili (JF SPORTS ), na nimetoa maana maoni yangu kulingana na michango na maoni Yako hapa Jf..

Tuendelee kulijenga hili jukwaa letu pendwa kwa mawazo hasi na changa kwa lengo kuu la kuukuza soka letu. Chaos!!! Kalpana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…