Si kweli,Ukiachana na zawadi ya UBINGWA, ina maana kwa lugha nyingine timu iliyofika fainali kwa ngazi ya SHIRIKISHO mpaka sasa hivi itakuwa imeshakusanya zaidi ya USD 2.0 MILLION kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka walikuwa wanapewa kitita cha pesa.
Yanga sio kama Simba, robo fainali wanajiona ndio mwisho wa mafanikio wanajilinganisha na Giants akina RAJA,WYDAD ALAHLY etc.Kila mnayekutana naye mnataka wachezaji wao, hii ni dalili bado hamjapevuka kwenye mambo haya ya kimataifa.
Huwa ipo hivi - unapofuzu kushiriki michuano ya KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO au KLABU BINGWA BARANI AFRIKA huwa kuna kitita cha pesa ambacho timu inayoshiriki hatua ya mtoano huwa inapata.Hapana mkuu hiyo utapata kiasi cha pesa kulingana na unapoishia tu, ukisonga mbele pesa ya hatua ya mbele imejumuisha hatua zote za nyuma
Naomba nitolee mfano kiwango cha pesa kilichotelewa msimu uliopita kabla ya kuongezwa pesa kwa siku mbili hizi.
Jumla ya pesa waliyotenga CAF katika michuano ya klabu bingwa ni usd milioni 12 5
Sasa tukienda kwenye uhalisia/ mchanganua wa hizo dola milioni 12.5 ni kama ifuatavyo
Jumla kuna makundi manne na katika kila kundi lazima zitolewe timu mbili na kisha timu mbili ndio zinazonga mbele, hivyo kuna timu nane zitaaga mashindano, hawa wanaoga wanapewa dola 550,000
Hapo inakatika 8 x 550,000 = usd 4,400,000
Baada ya timu nane kuaga, timu nane zilizobaki zitakuwa zimefuzu robo fainali, lakini kwenye hii hatua kuna timu 4 zitaenda mbele na 4 zingine zitakuwa zimeaga mashindano na kuishia robo yao (wakina robo fc)
Hapo itakatika 4 x 650,000 = usd 2,600,000
Hapo juu kuna timu nne zimetolewa na nne zikasonga mbele na kucheza hatua ya nusu fainali hivyo kwa vyovyote vile lazima timu mbili ziage.
Hapo tena fungu la CAF linamegeka tena
2 x 875,000 = usd 1,750,000
Timu zilizobakia ni mbili tu ambazo zitacheza fainali na bingwa atapata usd 2,500,000 na mshindi wa pili anapata usd 1,250,000.
Ukijumlisha usd 4,400,000
usd 2,600,000
usd 1,750,000
usd 2,500,000
usd 1,250,000
Ukijumlisha utapata jumla ya usd 12,500,000 (usd 12.5M) ambayo ndio jumla ya mpunga unaotolewa na CAF kwenye michuano ya klabu bingwa kwa msimu wa nyumaView attachment 2627782
Ulishaona wapi hiki kitu? Jaribu kufuatilia KOMBE LA AZAM CONFEDERATION CUP, huu ndiyo mfano mzuri wa kulinganisha kuhusu KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO na KLABU BINGWA BARANI AFRIKA.Huu utaratibu unaongeleqa sana mtaani. Ila mimi ninachofahamu, timu inapotolewa katika hatua fulani, ndiyo hupatiwa hicho kiasi. Ila ikitokea ikaendelea, haipewi.
Yaani mfano Yanga ina uwezo wa kupewa hela ya mshindi wa kwanza, au wa pili. Ila siyo hela za makundi, robo fainali, na nusu fainali.
Ndiyo kitu gani hiki? Wachezaji watakuwa wanakula nini kama hamna pesa za maandalizi?Hizo hela za nyuma hazihesabiwi unapewa hela pale unapoishia
Ulishaona wapi hiki kitu? Yaani anayeishia hatua fulani ndiyo anabeba kiwango cha pale alipoishia na yule aliyefuzu hatua inayofuata hapewi kitu chochote..😂😂Si kweli,
Utaratibu ni kwamba, anayeishia ndiyo anabeba kiwango cha pale alipoishia.
Basi sawa. Wewe ndiyo uko sahihi. Kila hatua hizo timu zinapofikia, CAF wanatoa hizo hela ulizosema.Ulishaona wapi hiki kitu? Jaribu kufuatilia KOMBE LA AZAM CONFEDERATION CUP, huu ndiyo mfano mzuri wa kulinganisha kuhusu KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO na KLABU BINGWA BARANI AFRIKA.
Kwa upande wa KOMBE LA AZAM CONFEDERATION CUP kila hatua huwa kuna kitita cha pesa ambacho timu huwa inapokea inapofuzu na kuendelea na hatua nyingine.
Kitita hiki cha pesa huwa kinasaidia kuwalipa wachezaji pamoja na benchi la ufundi na kujikimu wanapokuwa wanashiriki michuano ya AZAM CONFEDERATION CUP. Hali kadhalika kwa michuano ya KLABU BINGWA AFRIKA na KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO.
Ndiyo! Kwa sababu timu haiwezi kushiriki michuano yoyote pasipokuwa na pesa za maandalizi kutoka kwa mdhamini mkuu au wahusika wa mashindano hayo.Basi sawa. Wewe ndiyo uko sahihi. Kila hatua hizo timu zinapofikia, CAF wanatoa hizo hela ulizosema.
Chalesi, amini nilichoandika bro, huo ndiyo utaratibu.Ulishaona wapi hiki kitu? Yaani anayeishia hatua fulani ndiyo anabeba kiwango cha pale alipoishia na yule aliyefuzu hatua inayofuata hapewi kitu chochote..😂😂
Timu zote katika hatua fulani huwa zinapata kitita cha pesa kwa ajili ya malazi na kujikimu pamoja na posho za wachezaji na benchi la ufundi.
Sio kweli. Kuna timu nyingi zimeshawahi kushindwa kusafiri kwa kukosa pesa. Wangekuwa wanapewa hayo mambo yasingejitokezaNdiyo! Kwa sababu timu haiwezi kushiriki michuano yoyote pasipokuwa na pesa za maandalizi kutoka kwa mdhamini mkuu au wahusika wa mashindano hayo.
Wewe jamaa ni mbishi aisee, halafu unashindwa kuleta uthibitisho wa hoja zako. Haya onesha ni timu ipi ilipewa pesa kwaajili ya maandalizi? Ingekuwa kuna pesa zinatolewa za maandalizi na usafiri, usiongeona timu ya Biashara imeshindwa kusafiri kwenda kurudiana mechi kipindi kile ana shiriki shirikisho. Tusingekuwa tunaombea timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa ziwe zibauwezo wakujimudu kiuchumi. Embu waza vitu kwa kina basi. Pamoja na kukupa evidence bado unakuwa mbishi halafu unashindwa kuleta evidence zako kuthibitisha hoja yakoHuwa ipo hivi - unapofuzu kushiriki michuano ya KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO au KLABU BINGWA BARANI AFRIKA huwa kuna kitita cha pesa ambacho timu inayoshiriki hatua ya mtoano huwa inapata.
Hii hatua ya kwanza, huwa wanaita ni pesa za maandalizi na huwa inatolewa kwa kila timu iliyofanikiwa kuingia hatua ya makundi.
Hatua ya pili, timu ikishafuzu hatua ya makundi huwa kuna kitita cha pesa ambacho timu iliyofuzu kucheza hatua inayofuata huwa inapata, yaani kwa lugha nyingine huwa kuna kitita cha pesa ambacho huwa kinatolewa kwa timu iliyofuzu hatua ya robo fainali.
Hatua ya tatu, timu ikishafuzu hatua ya robo fainali huwa kuna kitita cha pesa ambacho timu iliyofuzu kucheza hatua inayofuata huwa inapata, yaani kwa lugha nyingine huwa kuna kitita cha pesa ambacho huwa kinatolewa kwa timu iliyofuzu hatua ya nusu ya fainali.
Hatua ya nne, baada ya nusu fainali huwa kuna fainali ambayo inatoa mshindi wa kwanza na mshindi wa pili.
Kwenye hatua ya fainali huwa inapatikana zawadi kwa mshindi wa kwanza na mshindi wa pili, zawadi hizo huwa zinaambatana na pesa taslimu. Lakini pesa ambazo huwa zinatolewa kwenye hatua ya makundi hadi hatua ya nusu fainali huwa ni pesa ambazo zinatumika kwa ajili ya malazi na kujikimu pamoja posho za wachezaji na benchi la ufundi.
Hizo timu ambazo zilishindwa kusafiri kutokana na kukosa pesa, tatizo huwa ni uongozi. Pesa huwa inatoka kwa mdhamini mkuu, lakini huwa inaliwa na viongozi wa timu na inapelekea timu kupoteza muelekeo.Sio kweli. Kuna timu nyingi zimeshawahi kushindwa kusafiri kwa kukosa pesa. Wangekuwa wanapewa hayo mambo yasingejitokeza
Hakuna kitu kama hicho. Jaribu kujielimisha, usifananishe Azam Confederation na CAF ni vitu havifananiHizo timu ambazo zilishindwa kusafiri kutokana na kukosa pesa, tatizo huwa ni uongozi. Pesa huwa inatoka kwa mdhamini mkuu, lakini huwa inaliwa na viongozi wa timu na inapelekea timu kupoteza muelekeo
Jaribu kufuatilia michuano ya AZAM CONFEDERATION CUP kwa upande wa TANZANIA. Huo ndiyo mfano mzuri kwa KLABU BINGWA BARANI AFRIKA na KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO.Wewe jamaa ni mbishi aisee, halafu unashindwa kuleta uthibitisho wa hoja zako. Haya onesha ni timu ipi ilipewa pesa kwaajili ya maandalizi? Ingekuwa kuna pesa zinatolewa za maandalizi na usafiri, usiongeona timu ya Biashara imeshindwa kusafiri kwenda kurudiana mechi kipindi kile ana shiriki shirikisho. Tusingekuwa tunaombea timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa ziwe zibauwezo wakujimudu kiuchumi. Embu waza vitu kwa kina basi. Pamoja na kukupa evidence bado unakuwa mbishi halafu unashindwa kuleta evidence zako kuthibitisha hoja yako
MFUMO WA MALIPO kwa upande wa AZAM CONFEDERATION CUP unafanana na MICHUANO YA CAF. Yaani ni kwamba - AZAM CONFEDERATION CUP wameiga kutoka MICHUANO YA CAF.Hakuna kitu kama hicho. Jaribu kujielimisha, usifananishe Azam Confederation na CAF ni vitu havifanani
Ndiyo! Kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka kulikuwa kuna pesa za maandalizi na fainali huwa kuna zawadi ya mshindi wa kwanza ambaye ni BINGWA na mshindi wa pili.Kwahiyo Yanga pamoja na kuwa mshindi wa pili wa CC atamzidi Simba aliyeishia robo fainali CL milioni 200 tu? Uto na mbwembwe zote hizo?
Kumbuka, mbali na hela ya kufika robo fainali CL Simba ina hela ya Super cup, hizo fedha hamuwezi kuzifikisha hata kama mtabeba hicho kikombe cha CC.Hizi tukizipata tunainunua Simba na tunaiguza kuwa kikundi cha unenguaji.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app