Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ee Mungu Muumba mbingu na nchi tunakuomba Wananchi tupate furaha ambayo tangu tuje katika ulimwengu huu hatujawahi kupata kwa kubeba kombe lolote nnje ya Africa mashariki na kati.Mwaka huu tukishabeba ndoo ya CAFCC tutajiandaa msimu ujao kubeba CAFCL, wananchi hatuna jambo dogo.
Jaribu kufuatilia michuano ya AZAM CONFEDERATION CUP kwa upande wa TANZANIA. Huo ndiyo mfano mzuri kwa KLABU BINGWA BARANI AFRIKA na KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO.
Hii michuano mikubwa huwa wanatoa hadi jezi za timu, timu husika huwa wanapeleka SAMPLE tu. MPIRA WA MIGUU ni biashara inayolipa sana [emoji1431]
AMINAYaani umebadili jina toka Marumo Gallants to USM Alger, ndio Yanga tunazidi barikiwa
Ndivyo ilivyo ila jamaa anaongea asichokijua na hata uthibitisho hana, analeta maneno ya vijiweni tuHuu utaratibu unaongeleqa sana mtaani. Ila mimi ninachofahamu, timu inapotolewa katika hatua fulani, ndiyo hupatiwa hicho kiasi. Ila ikitokea ikaendelea, haipewi.
Yaani mfano Yanga ina uwezo wa kupewa hela ya mshindi wa kwanza, au wa pili. Ila siyo hela za makundi, robo fainali, na nusu fainali.
Huu unaitwa ushabiki uliopevuka si ule wa kijinga jinga wa kiutopolo na kimbumbumbuKwa pesa hii tuwaombee mema tu. Ni pesa ndefu. Mpira unalipa aisee.
Mind your business so hatuna noma naweUSM ALGER [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Usiruhusu kiwango hiki cha upumbavu kiendelee kukua ndani yako, ni hatari kwa masha yako.Jaribu kufuatilia michuano ya AZAM CONFEDERATION CUP kwa upande wa TANZANIA. Huo ndiyo mfano mzuri kwa KLABU BINGWA BARANI AFRIKA na KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO.
Hii michuano mikubwa huwa wanatoa hadi jezi za timu kwa upande wa nyumbani na ugenini, timu husika huwa wanapeleka SAMPLE tu. MPIRA WA MIGUU ni biashara inayolipa sana 🙏🏽
Kweli kabisaaMwaka huu tukishabeba ndoo ya CAFCC tutajiandaa msimu ujao kubeba CAFCL, wananchi hatuna jambo dogo.
Huyo Chivaviro ni kwikwiIkiwa kila kitu kitabaki sawa halafu tupate na nyongeza ya mwamba mpambanaji Ranga CHIVAVIRO, Yanga hii utazidi kuipenda ndani na kimataifa.
Na huku ndani magolikipa watakuwa wanasingizia kuumwa vidole kila siku kukwepa lawama.
Wewe jamaa wakunyang'anye hiyo blue tick,Ndiyo! Kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka kulikuwa kuna pesa za maandalizi na fainali huwa kuna zawadi ya mshindi wa kwanza ambaye ni BINGWA na mshindi wa pili.
Acha uchizi wewe, ukitoka unapewa ukiwa unaendelea hupewi hadi utakapoishiaUkiachana na zawadi ya UBINGWA, ina maana kwa lugha nyingine timu iliyofika fainali kwa ngazi ya SHIRIKISHO mpaka sasa hivi itakuwa imeshakusanya zaidi ya USD 2.0 MILLION kwa sababu kila hatua waliyokuwa wanavuka walikuwa wanapewa kitita cha pesa.
Wenzio wamemchukua kipa wa vipersIkiwa kila kitu kitabaki sawa halafu tupate na nyongeza ya mwamba mpambanaji Ranga CHIVAVIRO, Yanga hii utazidi kuipenda ndani na kimataifa.
Na huku ndani magolikipa watakuwa wanasingizia kuumwa vidole kila siku kukwepa lawama.
Yanga akiwa wapili anapata 2.3bilYanga akiwa wapili atamzidi simba ngapi kwani .... ila yanga achukue apromote ligi ya TZ
Huna unachojua wewe.Huwa inafanyika katika kila hatua na mara nyingi huwa wanaita ni PESA ZA MAANDALIZI. Kwahiyo huwa kuna PESA ZA MAANDALIZI katika kila hatua ambapo timu itakuwa imefuzu.
Hata akiwa bingwa anaishia kupata 4.7 bil sasa ukijumlisha na matumizi anabaki na nini?Nyanga pesa walizopata tokea makundi ni nyingi sana. Waanze kujenga uwanja sasa. Bajeti ya bln 10 unatosha uwanja
Wewe unafikiri timu inaposhiriki michuano fulani ni nani ambaye huwa anagharamia gharama za malazi na posho kwa wachezaji na benchi la ufundi?Huna unachojua wewe.
Timu zinaposhiriki michuano ya KLABU BINGWA AFRIKA na KLABU BINGWA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO huwa wanahudumiwa kila kitu, ni viatu tu ndiyo mchezaji anatakiwa kununua cha saizi yake. Lakini vitu vyote ni mdhamini ndiyo anagharamia.Acha uchizi wewe, ukitoka unapewa ukiwa unaendelea hupewi hadi utakapoishia
Unapewa kiasi kutoka kwenye hela uliyoahidiwa, kwa mfano ukiingia makundi utapewa laki halafu ukiingia robo ukiambiwa ni laki mbili maana yake ihii laki mbili ya robo inajumuisha na laki ya makundi halafuNdiyo! Kwa sababu timu haiwezi kushiriki michuano yoyote pasipokuwa na pesa za maandalizi kutoka kwa mdhamini mkuu au wahusika wa mashindano hayo.
Ingekuwa hivyo Zalan wasingerudi Sudan kwa miguuWewe unafikiri timu inaposhiriki michuano fulani ni nani ambaye huwa anagharamia gharama za malazi na posho kwa wachezaji na benchi la ufundi?