Yanga imedhihirisha ukubwa wake Afrika

Yanga imedhihirisha ukubwa wake Afrika

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Wakuu, ni wazi kabisa katika ukanda huu wa CECAFA mkubwa wa soka amerejea mahali pake. Pamoja na upepo mbaya uliopita miaka kadhaa nyuma, sasa Yanga inathibitisha rasmi kuwa ndio klabu kubwa Afrika Mashariki na Kati kwa kuteka hisia na mioyo ya mashabiki mitandaoni na nje ya mitandao ya kijamii.

Kama unabisha pitia majukwaa YOTE JF, nenda Twitter, instagram, facebook nk, habari ya mjini unapoongelea michuano ya Afrika ni Yanga SC. Utakuta hata kama mada haihusiani na mpira, lazima jina la Yanga SC liibuke katikati ya mjadala. Licha ya kuwepo uwakilishi wa timu zaidi ya nne, bado TIMU PEKEE inayovuta hisia na kuamsha ari ya mashabiki wote bila kujali timu zao ni Yanga SC. Yanga ndio timu pekee inayowaleta pamoja mashabiki katika ukanda wetu.

Kinachovutia zaidi ni kuona mashabiki na wapenzi wa timu hasimu na Yanga wanavyotumia muda wao mwingi kujaribu kuchambua ubora wa Yanga kulinganisha na wapinzani wao. Hii ni dalili njema mno kwa Yanga kwani inaonyesha ni jinsi gani inafuatiliwa kwa karibu mno na wadau wa soka Mashariki, kati na kusini mwa Afrika.

Yanga NDIO TIMU PEKEE yenye mvuto kwa sasa kwenye ukanda wetu. Yanga ndio timu pekee inayowavutia mashabiki wa soka kufuatilia mechi zake.

Upende usipende hii ni FACT!!
 
Nje ya tanzania yanga haina tofauti na namungo
Wapi umeona namungo ikijadiliwa mkuu? Whether negatively or positively, Yanga ndio timu pekee inayoongelewa zaidi kwa sasa. Simba ilibebwa na "lete mzungu, hatujamaliza", leo hii habari ni Yanga tu. Sakata la Manzoki lilikuwa kimya mpaka pale alipohusishwa na Yanga.

Katika historia ya taifa letu hakuna mchezaji amewahi KUJADILIWA NA BUNGE LA NCHI, ambao ni watunga sheria za nchi, kwa misingi ya kutaka afukuzwe nchini kwa sababu tu ya UBORA WAKE isipokuwa FISTON KALALA MAYELENATION. Kanusha na hilo, CREAM ya taifa inakula kodi za Watanzania kumjadili PREDATOR atafutiwe sababu afukuzwe nchini!!
 
Wapi umeona namungo ikijadiliwa mkuu? Whether negatively or positively, Yanga ndio timu pekee inayoongelewa zaidi kwa sasa. Simba ilibebwa na "lete mzungu, hatujamaliza", leo hii habari ni Yanga tu. Sakata la Manzoki lilikuwa kimya mpaka pale alipohusishwa na Yanga.

Katika historia ya taifa letu hakuna mchezaji amewahi KUJADILIWA NA BUNGE LA NCHI, ambao ni watunga sheria za nchi, kwa misingi ya kutaka afukuzwe nchini kwa sababu tu ya UBORA WAKE isipokuwa FISTON KALALA MAYELENATION. Kanusha na hilo, CREAM ya taifa inakula kodi za Watanzania kumjadili PREDATOR atafutiwe sababu afukuzwe nchini!!
Ujinga mzigo,ukubwa wa timu unapimwa kwa matokeo kimataifa sio kutetema kama mgonjwa wa degedege
Caf wanaijua simba zaidi
Hakuna timu africa inayotamani kukutana na simba
Yanga ni singida big stars ya dsm
 
Mitandao ipi mmezidiwa na aimba kila kona na simba kila mara inatangazwa kufuatiliwa zaidi africa??
Msifosi sana mambo, fuateni mchakato hamna shortcut...
Takwimu ziko wazi kuwa nyie ni second placed twam kwa hapa tanzania na east africa... kaangalie instagram, tweeter, youtube, tiktok etc....
Kote mmezidiwa na simba sasa huo ukubwa mnaupata wapi?? Sema yanga ni timu kongwe sio kubwa kwa kutuatiliwa...
 
Wapi umeona namungo ikijadiliwa mkuu? Whether negatively or positively, Yanga ndio timu pekee inayoongelewa zaidi kwa sasa. Simba ilibebwa na "lete mzungu, hatujamaliza", leo hii habari ni Yanga tu. Sakata la Manzoki lilikuwa kimya mpaka pale alipohusishwa na Yanga.

Katika historia ya taifa letu hakuna mchezaji amewahi KUJADILIWA NA BUNGE LA NCHI, ambao ni watunga sheria za nchi, kwa misingi ya kutaka afukuzwe nchini kwa sababu tu ya UBORA WAKE isipokuwa FISTON KALALA MAYELENATION. Kanusha na hilo, CREAM ya taifa inakula kodi za Watanzania kumjadili PREDATOR atafutiwe sababu afukuzwe nchini!!
Hivi yanga kwa nini mnafikiriaga kwa kutumia makalio?? Ndio akili zenu zipi huko? Hivi unajua ulichoandikwa kwanza?
 
Usidhani unachokiona wewe mtandaoni kila mtu Anakiona.
Unachokutana nacho jua ndio cycle yako....
Wewe Unapenda Uto, afu ulitegemea online Ukute mambo ya wana lunyasi?
 
Ujinga mzigo,ukubwa wa timu unapimwa kwa matokeo kimataifa sio kutetema kama mgonjwa wa degedege
Caf wanaijua simba zaidi
Hakuna timu africa inayotamani kukutana na simba
Yanga ni singida big stars ya dsm
Ukubwa wa timu unapimwa kwa umaarufu wake ndugu, kama ubingwa ndio kigezo basi Leicester City ingekuwa juu ya Arsenal kwa ukubwa, au Porto FC ingeizidi Man United. Kweli ujinga mzigo.
 
Hivi yanga kwa nini mnafikiriaga kwa kutumia makalio?? Ndio akili zenu zipi huko? Hivi unajua ulichoandikwa kwanza?
Wanaofikiri kwa makalio huoni wamejaza server kuijadili Yanga kuliko kupeana mikakati ya timu yao? Ni kama misukule tu, hata hawajui wanataka nini. Mimi nimejadili Yanga yangu, afu mbumbumbu mmoja ananishutumu, ukitaka niandike kuhusu makolo? Mwende mjaribiwe:
 

Attachments

  • mookabwe-20220919-0001.jpg
    mookabwe-20220919-0001.jpg
    101.8 KB · Views: 5
Usidhani unachokiona wewe mtandaoni kila mtu Anakiona.
Unachokutana nacho jua ndio cycle yako....
Wewe Unapenda Uto, afu ulitegemea online Ukute mambo ya wana lunyasi?
Burdani ni kuwa, hao hao makolo wako bize kuichambua Yanga, huu ndio ukubwa wenyewe.
 
Mitandao ipi mmezidiwa na aimba kila kona na simba kila mara inatangazwa kufuatiliwa zaidi africa??
Msifosi sana mambo, fuateni mchakato hamna shortcut...
Takwimu ziko wazi kuwa nyie ni second placed twam kwa hapa tanzania na east africa... kaangalie instagram, tweeter, youtube, tiktok etc....
Kote mmezidiwa na simba sasa huo ukubwa mnaupata wapi?? Sema yanga ni timu kongwe sio kubwa kwa kutuatiliwa...
Kila nikiangalia nakuta Yanga, Mayele, Yanga, Mayele, Aziz Ki, tena mikolo inajibidiisha kutafuta publicity eti tumpambanishe Chama na Aziz Ki!!? Bila kuitumia Yanga makolo FC chali, huo upepo unaosema ushapita.
 
Wakuu, ni wazi kabisa katika ukanda huu wa CECAFA mkubwa wa sokaamerejea mahali pake. Pamoja na upepo mbaya uliopita miaka kadhaa nyuma, sasa Yanga inathibitisha rasmi kuwa ndio klabu kubwa Afrika Mashariki na Kati kwa kuteka hisia na mioyoya mashabiki mitandaoni na nje ya mitandao ya kijamii.

Kama unabisha pitia majukwaa YOTE JF, nenda Twitter, instagram, facebook nk, habari ya mjini unapoongelea michuano ya Afrika ni Yanga SC. Utakuta hata kama mada haihusiani na mpira, lazima jina la Yanga SC liibuke katikati ya mjadala. Licha ya kuwepo uwakilishi wa timu zaidi ya nne, bado TIMU PEKEEinayovuta hisia na kuamsha ari ya mashabiki wote bila kujali timu zao ni Yanga SC. Yanga ndio timu pekee inayowaleta pamoja mashabiki katika ukanda wetu.

Kinachovutia zaidi ni kuona mashabiki na wapenzi wa timu hasimu na Yanga wanavyotumia muda wao mwingi kujaribukuchambua ubora wa Yanga kulinganisha na wapinzani wao. Hii ni dalili njema mno kwa Yanga kwani inaonyesha ni jinsi gani inafuatiliwa kwa karibu mno na wadau wa soka Mashariki, kati na kusini mwa Afrika.

Yanga NDIO TIMU PEKEEyenye mvuto kwa sasa kwenye ukanda wetu. Yanga ndio timu pekee inayowavutia mashabiki wa soka kufuatilia mechi zake.

Upende usipende hii ni FACT!!
Acha mbwembwe, ubora wa Yanga haupo kwenye mbwembwe zako. Cheza caf ingia robo fainali, then leta mbwewmbwe zako hapa
 
Acha mbwembwe, ubora wa Yanga haupo kwenye mbwembwe zako. Cheza caf ingia robo fainali, then leta mbwewmbwe zako hapa
Kolo FC hujaelewa mada? Mara ya mwisho 'Man United kucheza robo fainali ni lini? Arsenal je? Je, zimekoma kuwa club kubwa zaidi Uingereza? Wee kolo achahizo bana.
 
Kolo FC hujaelewa mada? Mara ya mwisho 'Man United kucheza robo fainali ni lini? Arsenal je? Je, zimekoma kuwa club kubwa zaidi Uingereza? Wee kolo achahizo bana.
Football is not all about politics, better shut your mouth bro
 
Back
Top Bottom