uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali 500 sawa tuuEndapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Shwari mkuuVip mkuu
Kwakweli 🙌Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Watafanya matumizi kiasi gani ie usafiri,malazi na chakula?Kwa muda gani watatumia?Watabaki na senti ngapi?Wezi wataiba shilingi ngapi?Kodi?Watagawana nini kilichobaki?Think,and think downAiseee hiyo ni bonge la Idea
Mfano waweke kama tour flani hivi kwa kila mkoa au mikoa mikubwa na wahamishe
Wanaweza Tengeneza hela ikasaidia club
Nitumie namba yako nimpeGuede jamani..!
Hadi CRDB mmechukua Tayari?Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Sisi SSC!Kukoma kivipi mkuu
Hii ni bonge la idea mkuuMadrid Jana watu wamelipia kuangalia big screen Santiago wachumi wa hizi team bado hawajajua kuchuma hela kutoka kwa mashabiki
Yah sio Kila pesa GSM azame mfukoni pale ni unakabidhi vijana watatu na risiti basi wawe wachangamfu hapa dar pekee hukosi watu 200000Aiseee hiyo ni bonge la Idea
Mfano waweke kama tour flani hivi kwa kila mkoa au mikoa mikubwa na wahamishe
Wanaweza Tengeneza hela ikasaidia club
Hii waichukue kwa mikono miwili kabisaMaana yake wanaweza kutengeneza zaidi
Jana barnabeu mashabiki wamelipia kuangalia mechi kwenye big screen si hapa big screen huwekwa Bure
Nenda 5 star apartment pale utamkuta kwa sasa yuko znz..Guede jamani..!