Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Juu ya yote wasithubutu kuzunguka na wachezaji wanahitaji kupumzika.
Fatigue ni kitu kibaya kina athiri human performance.
Wasije wakajisahau kuandaa timu kwa akili ya next season sababu ya kuwa "mama mashughuli" ..😃😆🤣
 
Usafiri na ulinzi pia malazi hapo wanatafuta wadhamini watakaosimamia hiyo tour
Inawezekana tatizo lipo hapa kwenye udhamini ila ni wazo ambalo limeshawahi pita kwenye vichwa vya wahusika nyakati fulani katika historia ya soka.
 
Inawezekana tatizo lipo hapa kwenye udhamini ila ni wazo ambalo limeshawahi pita kwenye vichwa vya wahusika nyakati fulani katika historia ya soka.
Wajaribu tena nyakati zinabadirika basi ikishindikana sana waongozane nalo kwenye Kila mechi msimu ujao ili team pinzani ikipata mapato ya ndani wao wachukue ya nje kwa kupiga picha yawekwe mazingira mazuri na mpiga picha mzuri
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Exactly, hio ni good idea. Another idea ni kama wakiamua kufanya pre season ndani ya Tanzania na wakaanza mapema, wakizunguka mikoa mitatu au minne na kila mkoa wakapiga mechi moja tu ya pre season, hawawezi kukosa 500M mpaka season inaanza.
 
Exactly, hio ni good idea. Another idea ni kama wakiamua kufanya pre season ndani ya Tanzania na wakaanza mapema, wakizunguka mikoa mitatu au minne na kila mkoa wakapiga mechi moja tu ya pre season, hawawezi kukosa 500M mpaka season inaanza.
Uko sahihi sana pre season ifanyike tz wapate mechi na team za kawaida kabisa zile za kule mikoani (zisiwe ligi kuu) nadhani wanaweza pata zaidi ya hiyo yani wanaweza kutengeneza hata 1.5 bl kabla ya msimu kuanza
 
Uko sahihi sana pre season ifanyike tz wapate mechi na team za kawaida kabisa zile za kule mikoani (zisiwe ligi kuu) nadhani wanaweza pata zaidi ya hiyo yani wanaweza kutengeneza hata 1.5 bl kabla ya msimu kuanza
Na huo ndo ukweli, pre season bongo zinafanyika so shallow and partial. Nikiwa Marekani mwaka juzi, Chelsea ya kina Sterling visited na kulikuwa na organized tournament ya pre season pale Orlando. They were making a lot of money by playing tu yale mashindano ya pre season na team za Marekani, meanwhile wao wakiwa wanaendelea na pre season yao as scheduled. Bongo tunashindwa sana kuvuna pesa nyingi zaidi kupitia fan engagement.
 
Wajaribu tena nyakati zinabadirika basi ikishindikana sana waongozane nalo kwenye Kila mechi msimu ujao ili team pinzani ikipata mapato ya ndani wao wachukue ya nje kwa kupiga picha yawekwe mazingira mazuri na mpiga picha mzuri
Si lazima wao wafanye boss, Andaa proposal, tafuta wadhamini, kutana na viongozi. Timu ni yenu.
 
Back
Top Bottom